Ukimfumania mke au mume / mpenzi wako chumbani kitu gani cha kwanza kukifanya wewe?

Ukimfumania mke au mume / mpenzi wako chumbani kitu gani cha kwanza kukifanya wewe?

1. Kuwafumania watu ni kosa la kimaadili...

2. Kwa upande wangu kama ikitokea nimewafuma kwa bahati mbaya, nawataka radhi kwa kuwaingilia raha zao, natoka nje, wakishamaliza naendelea na shughuli zangu...

3. Nakata Ushirikiano wa kimapenzi na kiuchumi, akiamua abaki, au asepe, atajua mwenyewe...

4. Akibaki naendelea kumhudumia mahitaji ya msingi ila kwenye mahesabu yangu hatakuwepo tena...

Sikuzaliwa na mwanamke mimi... 💉
 
Ukimfumania mke au mume / mpenzi wako chumbani kitu gani cha kwanza kukifanya wewe?

Naanza mimi nitanyanyua mtungi wa gas nawarushia 😁
Mimi kitu namshukuru mungu ni walinzi walikua karibu siku ile ila sijui ningekua wapi sasa hivi aisee sijui kwakweli omba isikukute mzee kama haijawahi kukukuta sio rahisi kama unavyodhan
 
Ukimfumania mke au mume / mpenzi wako chumbani kitu gani cha kwanza kukifanya wewe?

Naanza mimi nitanyanyua mtungi wa gas nawarushia 😁
Hakikisha wamekuina then wapishe wafanye yao wakimaliza rudi usiongee kitu
 
Nawapa Maji waendelee na game, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatua ya Kwanza tulia, ya pili ondoka eneo la tukio ya tatu Fanya maamuzi either kumsamehe au kutomsamehe, ukimsamehe weka maamuzi na mipaka mingine kichwani mwako hata usimwambie kitu chochote juu ya hayo maamuzi,
 
POTELEA MBALI! nawasha njiti ya kiberiti nazimia kum*ni kwa huyo mke hadi kiishe, huyo jamaa namletea masela wamf*re hadi avae pampas.maamuzi ya kikatili ndio DEAL.
 
Sitafanya kitu lakini hapo ndiyo utakuwa mwisho wa mahusiano au ndoa.
 
Back
Top Bottom