Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Yeye alimuamini sana ke wake, kumsifia kila mara, kumtetea alafu ke mwenyewe tu alikua anaonekana ni mambo mengi ila ndio hivyo mwamba alikuwa hasikii wala haoni mpaka alipokuja kumfumania majuzi hata mwezi haujaisha.๐๐๐๐๐๐ Kumuamini mwanamke ambaye sio mkeo ni jambo la kishujaa sana. Mimi nilikuwa mguu mmoja nje miaka yote hio hadi nilipooa ndio nikazima camera zangu za surveillance
Jamaa itakua mgeni na ulimwengu wa mbunyeYeye alimuamini sana ke wake, kumsifia kila mara, kumtetea alafu ke mwenyewe tu alikua anaonekana ni mambo mengi ila ndio hivyo mwamba alikuwa hasikii wala haoni mpaka alipokuja kumfumania majuzi hata mwezi haujaisha.
Alikuwa kapoaga sana enzi hizo tunakimbizana na sketi za chuo.Jamaa itakua mgeni na ulimwengu wa mbunye
Kwani iko moja tu?Usipomsamehe ndio anaenda KUBOMOLEWA MBUNYE kisawasawa na hilo lijamaa lake.
Ukisusa wenzio WANABOMOA MBUNYE kwa kujinafasi.
Bora ujikaze na wewe uendelee KUBOMOA MBUNYE.
Cc: Half american Extrovert mshamba_hachekwi dronedrake mzabzab Mbaga Jr binti kiziwi Bantu Lady Lamomy Mzee wa kupambania Kapeace Kalpana min -me Tlaatlaah FaizaFoxy Poor Brain
Akakazana kukata kiunoHalafu shetani Ni Nguvu ya Mawazo mabaya ambayo unaรhindwa kuyatawala๐คฃ
Licha ya kuirudishia na Migugumio iliambatanishwa!Anyway Kila la kheri Mwenetu๐ฅ