Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
-
- #141
At your own risk.Kama nampenda,nitafanya Kila lililo katika uwezo wangu kufanya atimize ndoto zake..Kama unahisi akisoma au akiwa mahala pa juu zaidi atakuacha, means hakua wako tangu siku ya Kwanza..
What risk??At your own risk.
The best way for you to understand is to learn the hard way. Time will answer your question.What risk??
Sijawahi kuogopa kuachwa japo nimewahi kuachwa,labda una Personal insecurities about self-worth,pesa Huna or attractiveness..The best way for you to understand is to learn the hard way. Time will answer your question.
Hakuna anaegopa kuachwa, tunaongea fact ili ukifika wakati wa kuachana kusiwe na upande ambao utaachwa na hasara au maumivu ya kiuchumi.Sijawahi kuogopa kuachwa japo nimewahi kuachwa,labda una Personal insecurities about self-worth,pesa Huna or attractiveness..
Kwanini ufikiri mkeo atakuacha aende kwa Jamaa Richer than you,taller than you, handsome than you..msomi zaidi yako..Hujiamini???
Hii ni nzito kuliko jiwe. Sababu mwanamke hakuumbiwa kutawala. Ukimfanya mtawala atalazimika kutafuta anayemtawala zaidiKwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k
Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.
Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.
Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.
Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.
Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.
Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way
Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.
Learn or perish.
Kwahiyo mkuu mwanamke hapaswi kua hatua 5 Zaidi yako??Hakuna anaegopa kuachwa, tunaongea fact ili ukifika wakati wa kuachana kusiwe na upande ambao utaachwa na hasara au maumivu ya kiuchumi.
Tunayo mifano mingi ya maisha ya wanaume walipolomoka kwa sababu ya mwanamke kwaiyo hatuwezi kujidanganya kwamba hakuna tatizo.
Wewe unaweza kuona ni suala dogo ambalo unalimudu lakini circle ya wanaume haiishii kwako., even your brother and son ni jinsia ME ambao kesho na kesho kutwa wanaweza kuwa victims wa makucha ya wanawake
Basi acha nifurah..The more reason she'll call you not a gentleman or other negative names when she can't manipulate and exploit you
Mwanamke akikuambia you are not a gentleman furahi sana
Sasa kwa wanaume wanaojitutumua kuoa mwanamke tayari ameshamzidi jamaa kila kitu inakuwaje mwenyekiti..maana kuna jamaa yangu anasema yeye haangalii anachojali upendo.Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k
Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.
Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.
Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.
Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.
Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.
Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way
Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.
Learn or perish.
Eti kisa kakuzalia watoto, na wakat watoto unawatunza na yeye hakosi basics. Anataka extraNoma sana., mtu anakuchukua kwa sababu ya hela yako ambayo hajakusaidia kutafuta
Wanafikiri mahusiano ya kimapenzi ni mfuko wa penshenMwamba unaspana
Mwamba unaspana.Wanafikiri mahusiano ya kimapenzi ni mfuko wa pensheni
Kila mtu ana jibu lake, lakini kwa afya ya mahusiano ni hatari zaidi mwanamke kukuzidi kiuchumi.Kwahiyo mkuu mwanamke hapaswi kua hatua 5 Zaidi yako??
That's sound exactly trading skillsIn this game you have to accept the fact that, sometimes you will win sometimes you will lose.. Count your loss and move on.
Hili kwenda sambamba na mwanamke hautakiwi kutumia sana logic kwenye kutafsiri matendo na maamuzi yake, ndio maana watu wenye IQ kubwa mahusiano ya kimapenzi huwa yanawasumbuaEti kisa kakuzalia watoto, na wakat watoto unawatunza na yeye hakosi basics. Anataka extra
Ni heshima kubwa sana kuitwa bahili kuliko kutapanya pesa halafu badae uje kuitwa masikini.Basi acha nifurah..
Mwenzenu naambiwaga " wewe ni mwanaume katili, una roho mbaya sana , ni mbinafsi na bahili sana wewe" 🤣🤣🤣🤣.
Huu ujinga ujinga wa hawa viumbe kiukwel sio wa kuuendekeza
Ni wanawake wachache sana wanaweza ku-maintain ile womanhood nyakati zao za mafanikio kiuchumi, kwaiyo ni risk kidogo kuoa mwanamke ambae amekuzidi kwenye ilo sualaSasa kwa wanaume wanaojitutumua kuoa mwanamke tayari ameshamzidi jamaa kila kitu inakuwaje mwenyekiti..maana kuna jamaa yangu anasema yeye haangalii anachojali upendo.
Basi acha nifurah..
Mwenzenu naambiwaga " wewe ni mwanaume katili, una roho mbaya sana , ni mbinafsi na bahili sana wewe" 🤣🤣🤣🤣.
Huu ujinga ujinga wa hawa viumbe kiukwel sio wa kuuendekeza
Siyo kweli. Ndoa inahitaji reciprocal love, faithfulness + understanding: haya ni ya muhimu - mengine ni rahisi kuyavumilia.Mkuu ndoa ni taasisi ambayo inalinda masilahi ya mwanamke, mwanaume usipocheza kwa step basi uyo mwanamke kukuacha salama afanye uungwana tu
Siyo kweli at all! Only that men demand too much even what themselves are unable to give to their wives. Ndoa inahitaji kuendelea kujifunza kumpenda mwenzako Kila siku. By the way, the garbage you heap on your wife she too heaps on you - so you can choose to heap garbage on each other or live freely from heaping garbage on each other. It's your choice. My wife and I have chosen not to heap garbage on each other and we are happy about it.Be nice to a woman at your own risk.