Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

The best way for you to understand is to learn the hard way. Time will answer your question.
Sijawahi kuogopa kuachwa japo nimewahi kuachwa,labda una Personal insecurities about self-worth,pesa Huna or attractiveness..

Kwanini ufikiri mkeo atakuacha aende kwa Jamaa Richer than you,taller than you, handsome than you..msomi zaidi yako..Hujiamini???
 
Sijawahi kuogopa kuachwa japo nimewahi kuachwa,labda una Personal insecurities about self-worth,pesa Huna or attractiveness..

Kwanini ufikiri mkeo atakuacha aende kwa Jamaa Richer than you,taller than you, handsome than you..msomi zaidi yako..Hujiamini???
Hakuna anaegopa kuachwa, tunaongea fact ili ukifika wakati wa kuachana kusiwe na upande ambao utaachwa na hasara au maumivu ya kiuchumi.

Tunayo mifano mingi ya maisha ya wanaume walipolomoka kwa sababu ya mwanamke kwaiyo hatuwezi kujidanganya kwamba hakuna tatizo.

Wewe unaweza kuona ni suala dogo ambalo unalimudu lakini circle ya wanaume haiishii kwako., even your brother and son ni jinsia ME ambao kesho na kesho kutwa wanaweza kuwa victims wa makucha ya wanawake
 
Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn or perish.
Hii ni nzito kuliko jiwe. Sababu mwanamke hakuumbiwa kutawala. Ukimfanya mtawala atalazimika kutafuta anayemtawala zaidi
 
Hakuna anaegopa kuachwa, tunaongea fact ili ukifika wakati wa kuachana kusiwe na upande ambao utaachwa na hasara au maumivu ya kiuchumi.

Tunayo mifano mingi ya maisha ya wanaume walipolomoka kwa sababu ya mwanamke kwaiyo hatuwezi kujidanganya kwamba hakuna tatizo.

Wewe unaweza kuona ni suala dogo ambalo unalimudu lakini circle ya wanaume haiishii kwako., even your brother and son ni jinsia ME ambao kesho na kesho kutwa wanaweza kuwa victims wa makucha ya wanawake
Kwahiyo mkuu mwanamke hapaswi kua hatua 5 Zaidi yako??
 
The more reason she'll call you not a gentleman or other negative names when she can't manipulate and exploit you

Mwanamke akikuambia you are not a gentleman furahi sana
Basi acha nifurah..
Mwenzenu naambiwaga " wewe ni mwanaume katili, una roho mbaya sana , ni mbinafsi na bahili sana wewe" 🤣🤣🤣🤣.
Huu ujinga ujinga wa hawa viumbe kiukwel sio wa kuuendekeza
 
Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn or perish.
Sasa kwa wanaume wanaojitutumua kuoa mwanamke tayari ameshamzidi jamaa kila kitu inakuwaje mwenyekiti..maana kuna jamaa yangu anasema yeye haangalii anachojali upendo.
 
Basi acha nifurah..
Mwenzenu naambiwaga " wewe ni mwanaume katili, una roho mbaya sana , ni mbinafsi na bahili sana wewe" 🤣🤣🤣🤣.
Huu ujinga ujinga wa hawa viumbe kiukwel sio wa kuuendekeza
Ni heshima kubwa sana kuitwa bahili kuliko kutapanya pesa halafu badae uje kuitwa masikini.
 
Sasa kwa wanaume wanaojitutumua kuoa mwanamke tayari ameshamzidi jamaa kila kitu inakuwaje mwenyekiti..maana kuna jamaa yangu anasema yeye haangalii anachojali upendo.
Ni wanawake wachache sana wanaweza ku-maintain ile womanhood nyakati zao za mafanikio kiuchumi, kwaiyo ni risk kidogo kuoa mwanamke ambae amekuzidi kwenye ilo suala
 
Mkuu ndoa ni taasisi ambayo inalinda masilahi ya mwanamke, mwanaume usipocheza kwa step basi uyo mwanamke kukuacha salama afanye uungwana tu
Siyo kweli. Ndoa inahitaji reciprocal love, faithfulness + understanding: haya ni ya muhimu - mengine ni rahisi kuyavumilia.
 
Be nice to a woman at your own risk.
Siyo kweli at all! Only that men demand too much even what themselves are unable to give to their wives. Ndoa inahitaji kuendelea kujifunza kumpenda mwenzako Kila siku. By the way, the garbage you heap on your wife she too heaps on you - so you can choose to heap garbage on each other or live freely from heaping garbage on each other. It's your choice. My wife and I have chosen not to heap garbage on each other and we are happy about it.
 
Back
Top Bottom