Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

Naomba niseme machache yaliyonikuta japo kwa ufupi ila ndefu kdg ili mnielewe kwa wale watakaoweza kusoma.

Mwaka flan niliwahi kukutana na single mother ambaye jamaa aliyempa mimba alimkataa mtoto tangu akiwa tumboni, So binti aka-move on.

Tukiwa tupo mtaa mmoja Tukaanzisha mahusiano wakati ambapo mtoto ana kama mwaka hv na mambo yalienda vzr, jamaa akawa anakuja kwa demu kumuona mtoto na kwel dogo amefanana na jamaa, na mara nyingi jamaa alikuwa anakuja usiku hvy siku nikitaka kwenda kwa demu halafu kama jamaa yupo bc demu ananiambia yupo na mgeni Then Mm napotezea nilikuwa sifatilii ila nikaja kujua kuwa jamaa hua anakwenda kwa demu ila n mara chache maybe kwa mwezi mara tatu, nikapotezea tuu mana najua wale wamezama wote na kwa maelezo ya demu n hawajawahi kusex.

Kuna kipindi nilifukuzwa kazin kutokana na kupishana kauli na boss wangu, so mambo yangu yalienda vibaya mno.
Ila bado nilikuwa nikimtimizia mahitaji yake yule demu japokuwa tulikuwa hatuishi pamoja, kipindi fulani akataka kuhama kwenda kuishi mtaa mwngn nkatoa pesa ili kukamilisha yeye kuondoka mtaa ule huku tukiwekeana ahadi kuwa baada ya yeye kuondoka bc tutaenda kuishi wote hapo So mm nilimuamini na nkatoa kodi ya mwaka mzima pamoja na kununua baadhi ya vitu vya ndani yn zaidi ya 60% ya vitu ndani nilinunua kwa pesa yangu + kodi ya mwaka mzima (hapo bado sina kazi hvy nlkuwa natumia akiba yangu niliyokuwa nayo wakati nafanya kazi)

Pamoja na hayo pia aliniomba nimfungulie biashara ila nilimwambia asubiri mana nmetumia pesa nyingi kwake na pia kuna pesa niliwekeza mahali So kwa kipindi kile sikuwa na pesa kabisa na hiyo biashara ilikufa nikiwa sijaingiza ht mia kama faida. So kuhusu kumfungulia biashara ikashindikana kwa wakati ule ila nilimuahidi kumfungulia hy biashara.

Akiwa tayari amehamia kwenye hayo makazi mapya ndipo mambo yalipoanza kuvurugika zaidi, kugombana nae ilikuwa n kila siku, kunitukana matusi makubwa mno, kunidharau na kila aina ya mabaya alinifanyia ila mm nilikuwa nikimvumilia mana sikutaka kuanzisha mahusiano na mwanamke mwngn mana binafsi hua n mgumu sana kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake na ndio mana sina idadi kubwa ya wanawake waliowahi kuwa nao kwenye mahusiano nadhani hawafikii hata wanawake nane ambao nshawahi kuwa nao.

Tukigombana anakaa siku kadhaa anarudi kuniomba msamaha (bado tulikuwa hatuishi pamoja) Then maisha ya yaendelea na sema ukweli tukiwa sawa hua tunaishi vzr kiasi kwamba unasema huyu ndie mwanamke wa kuoa.
Kilichofanya nisiishi nae n kwa sababu kipindi hicho sikuwa na pesa hvy nilikuwa nawaza sana nikiishi nae nitamlisha nini na huyo mwanae so ni bora nisiishi nae ili akipewa pesa ya matumizi na huyo aliyezaa nae bc iweze kumtosha yeye na mwanae kuliko na mm niwepo hapo niwe nategemea kula hy pesa ya huyo mwanaume mwngn na pia Mm nlkuwa nikitoka kupambana huko nilikuwa nikimpatia pesa ya matumizi japokuwa sio kila siku. Lkn huyo mwanamke bado akawa ananidharau mno na kila siku tulikuwa tukigombana kwa sababu za kijinga tuu ambazo yeye ndie ameanzisha.

Kumbe huku nyuma mzee mwenye nyumba alitaka kurekebisha mikataba kutokana na kutaka kwenda kukopa pesa benki hvy pale kwenye jina langu kwenye mkataba demu aliondoa jina langu na kuweka lake kwamba yeye ndie mwenye chumba. Hilo pia nilinyamaza na sikutaka kupigiana kelele nae mana kwa kiasi fulani nilianza kuchoka kuwa nae mana kila siku alikuwa mtu wa kunisababishia stress. Mpaka ikafika wakati akanipiga marufuku kukanyaga pale anapoishi.

Kuna siku tukiwa nae nikaanzisha story kuwa nlishawahi kumuona akiingia gest na mwanaume (nilifanya utani ila nikiwa na sura ya serious) bahati nzuri au mbaya akakubali n kweli aliwahi kutoka na mwanaume na walitumia kinga na alifanya hvy kwa sababu hakuwa na jinsi ya kufanya mana hakuwa na pesa ya kuendesha maisha yake mana Mm kwa kipind hicho sikuwa na kazi pia yule aliyezaa nae alikuwa akimzungua kumpa pesa ya matumizi, hii kitu iliniuma sana ila nikapotezea. Na kutokana na mambo yake najua kuna wanaume wengi ametoka naye ila nimenyamaza.

Nashukuru mungu kuna mahali nilipata kazi japokuwa mshahara mdogo lkn nashukuru Mungu mambo yangu yalikuwa yakienda, na yule demu bado nilikuwa naye japokuwa sio kuishi nae, so alikuwa anakuja kwangu anakaa siku kadhaa huku mtoto akiwa kwa dada yake Then anarudi kumchukua mwanae na siku nyingine nlkuwa nikienda kwa demu.

Tuliendelea kuishi hvy hvy kwa kugombana na kurudiana na hayo yote n yeye alikuwa akiyaanzisha yn ugomvi pamoja na mapatano, Mm nilikuwa mpole wakati wote mana sikutaka kuwa na mahusiano mngn zaidi yake tuu.

Kuna siku akaomba nimuanzishie biashara na akapiga hesabu ya kiasi kinachohitajika kwenye hiyo biashara na nikamjibu sawa napambana kupata hiyo pesa, ila dah nawaza kama huyu huyu ndie amekuwa mwiba kwenye maisha yangu kwamba nilitumia kiasi kikubwa cha pesa ili kumfurahisha wakati ambao Mm sina kazi na akalipa kwa kunionyesha dharau na matusi juu halafu huyu huyu tena nimuanzishie biashara si mambo yatakuwa yale yale ataweza kunifukuza hata hapo kwenye biashara niliyomfungulia mwnyw, nikaona hii hapana siwez kumfungulia biashara hvy ngoja ninyamaze niendelee kusikiliza kelele zake za kutaka kumfungulia biashara.

Ndugu zangu, pesa ambazo nmetumia kwa huyo single mother nngesema nijiajiri hakika nngepiga hatua kubwa kwenye maisha yangu ila nilifanya hayo kwake ili kumfurahisha mana nilimuamini ila bado akaniumiza.

Mpaka muda huu bado nipo nae ila kwa kweli sioni future nae mana kila wakati mm na yeye n kugombana tuu, sasa kama mtu hawezi kuwa mwaminifu sasa hv je atakuwa mwaminifu tukiwa kwenye ndoa! Hilo n hapana.
Japokuwa inaniumiza kuachana nae ila ni bora iwe sasa kuliko huko mbele itakavyokuwa nikiwa nitaendelea kulazimisha kuwa nae.


Someone once said 'if you get on the wrong train, be sure to get off at the first stop. The longer you stay on, the more expensive the return trip is going to cost you'

They weren't talking about trains 😎
 
Naomba niseme machache yaliyonikuta japo kwa ufupi ila ndefu kdg ili mnielewe kwa wale watakaoweza kusoma.

Mwaka flan niliwahi kukutana na single mother ambaye jamaa aliyempa mimba alimkataa mtoto tangu akiwa tumboni, So binti aka-move on.

Tukiwa tupo mtaa mmoja Tukaanzisha mahusiano wakati ambapo mtoto ana kama mwaka hv na mambo yalienda vzr, jamaa akawa anakuja kwa demu kumuona mtoto na kwel dogo amefanana na jamaa, na mara nyingi jamaa alikuwa anakuja usiku hvy siku nikitaka kwenda kwa demu halafu kama jamaa yupo bc demu ananiambia yupo na mgeni Then Mm napotezea nilikuwa sifatilii ila nikaja kujua kuwa jamaa hua anakwenda kwa demu ila n mara chache maybe kwa mwezi mara tatu, nikapotezea tuu mana najua wale wamezama wote na kwa maelezo ya demu n hawajawahi kusex.

Kuna kipindi nilifukuzwa kazin kutokana na kupishana kauli na boss wangu, so mambo yangu yalienda vibaya mno.
Ila bado nilikuwa nikimtimizia mahitaji yake yule demu japokuwa tulikuwa hatuishi pamoja, kipindi fulani akataka kuhama kwenda kuishi mtaa mwngn nkatoa pesa ili kukamilisha yeye kuondoka mtaa ule huku tukiwekeana ahadi kuwa baada ya yeye kuondoka bc tutaenda kuishi wote hapo So mm nilimuamini na nkatoa kodi ya mwaka mzima pamoja na kununua baadhi ya vitu vya ndani yn zaidi ya 60% ya vitu ndani nilinunua kwa pesa yangu + kodi ya mwaka mzima (hapo bado sina kazi hvy nlkuwa natumia akiba yangu niliyokuwa nayo wakati nafanya kazi)

Pamoja na hayo pia aliniomba nimfungulie biashara ila nilimwambia asubiri mana nmetumia pesa nyingi kwake na pia kuna pesa niliwekeza mahali So kwa kipindi kile sikuwa na pesa kabisa na hiyo biashara ilikufa nikiwa sijaingiza ht mia kama faida. So kuhusu kumfungulia biashara ikashindikana kwa wakati ule ila nilimuahidi kumfungulia hy biashara.

Akiwa tayari amehamia kwenye hayo makazi mapya ndipo mambo yalipoanza kuvurugika zaidi, kugombana nae ilikuwa n kila siku, kunitukana matusi makubwa mno, kunidharau na kila aina ya mabaya alinifanyia ila mm nilikuwa nikimvumilia mana sikutaka kuanzisha mahusiano na mwanamke mwngn mana binafsi hua n mgumu sana kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake na ndio mana sina idadi kubwa ya wanawake waliowahi kuwa nao kwenye mahusiano nadhani hawafikii hata wanawake nane ambao nshawahi kuwa nao.

Tukigombana anakaa siku kadhaa anarudi kuniomba msamaha (bado tulikuwa hatuishi pamoja) Then maisha ya yaendelea na sema ukweli tukiwa sawa hua tunaishi vzr kiasi kwamba unasema huyu ndie mwanamke wa kuoa.
Kilichofanya nisiishi nae n kwa sababu kipindi hicho sikuwa na pesa hvy nilikuwa nawaza sana nikiishi nae nitamlisha nini na huyo mwanae so ni bora nisiishi nae ili akipewa pesa ya matumizi na huyo aliyezaa nae bc iweze kumtosha yeye na mwanae kuliko na mm niwepo hapo niwe nategemea kula hy pesa ya huyo mwanaume mwngn na pia Mm nlkuwa nikitoka kupambana huko nilikuwa nikimpatia pesa ya matumizi japokuwa sio kila siku. Lkn huyo mwanamke bado akawa ananidharau mno na kila siku tulikuwa tukigombana kwa sababu za kijinga tuu ambazo yeye ndie ameanzisha.

Kumbe huku nyuma mzee mwenye nyumba alitaka kurekebisha mikataba kutokana na kutaka kwenda kukopa pesa benki hvy pale kwenye jina langu kwenye mkataba demu aliondoa jina langu na kuweka lake kwamba yeye ndie mwenye chumba. Hilo pia nilinyamaza na sikutaka kupigiana kelele nae mana kwa kiasi fulani nilianza kuchoka kuwa nae mana kila siku alikuwa mtu wa kunisababishia stress. Mpaka ikafika wakati akanipiga marufuku kukanyaga pale anapoishi.

Kuna siku tukiwa nae nikaanzisha story kuwa nlishawahi kumuona akiingia gest na mwanaume (nilifanya utani ila nikiwa na sura ya serious) bahati nzuri au mbaya akakubali n kweli aliwahi kutoka na mwanaume na walitumia kinga na alifanya hvy kwa sababu hakuwa na jinsi ya kufanya mana hakuwa na pesa ya kuendesha maisha yake mana Mm kwa kipind hicho sikuwa na kazi pia yule aliyezaa nae alikuwa akimzungua kumpa pesa ya matumizi, hii kitu iliniuma sana ila nikapotezea. Na kutokana na mambo yake najua kuna wanaume wengi ametoka naye ila nimenyamaza.

Nashukuru mungu kuna mahali nilipata kazi japokuwa mshahara mdogo lkn nashukuru Mungu mambo yangu yalikuwa yakienda, na yule demu bado nilikuwa naye japokuwa sio kuishi nae, so alikuwa anakuja kwangu anakaa siku kadhaa huku mtoto akiwa kwa dada yake Then anarudi kumchukua mwanae na siku nyingine nlkuwa nikienda kwa demu.

Tuliendelea kuishi hvy hvy kwa kugombana na kurudiana na hayo yote n yeye alikuwa akiyaanzisha yn ugomvi pamoja na mapatano, Mm nilikuwa mpole wakati wote mana sikutaka kuwa na mahusiano mngn zaidi yake tuu.

Kuna siku akaomba nimuanzishie biashara na akapiga hesabu ya kiasi kinachohitajika kwenye hiyo biashara na nikamjibu sawa napambana kupata hiyo pesa, ila dah nawaza kama huyu huyu ndie amekuwa mwiba kwenye maisha yangu kwamba nilitumia kiasi kikubwa cha pesa ili kumfurahisha wakati ambao Mm sina kazi na akalipa kwa kunionyesha dharau na matusi juu halafu huyu huyu tena nimuanzishie biashara si mambo yatakuwa yale yale ataweza kunifukuza hata hapo kwenye biashara niliyomfungulia mwnyw, nikaona hii hapana siwez kumfungulia biashara hvy ngoja ninyamaze niendelee kusikiliza kelele zake za kutaka kumfungulia biashara.

Ndugu zangu, pesa ambazo nmetumia kwa huyo single mother nngesema nijiajiri hakika nngepiga hatua kubwa kwenye maisha yangu ila nilifanya hayo kwake ili kumfurahisha mana nilimuamini ila bado akaniumiza.

Mpaka muda huu bado nipo nae ila kwa kweli sioni future nae mana kila wakati mm na yeye n kugombana tuu, sasa kama mtu hawezi kuwa mwaminifu sasa hv je atakuwa mwaminifu tukiwa kwenye ndoa! Hilo n hapana.
Japokuwa inaniumiza kuachana nae ila ni bora iwe sasa kuliko huko mbele itakavyokuwa nikiwa nitaendelea kulazimisha kuwa nae.


Someone once said 'if you get on the wrong train, be sure to get off at the first stop. The longer you stay on, the more expensive the return trip is going to cost you'

They weren't talking about trains 😎
Dah.! Mkuu haya ndo machache? 😀😀😀
 
Wenzako wamepita kimya kimya, naona wewe umeamua kujitoa muanga.
Kupita kimya kimya haina maana umeandika uhalisia au tumekubaliana na wewe, ni kwamba tumeamua tu kuacha kubishana na wewe sababu hata tukifanya hivyo huna hoja za kutujibu, matokeo yake unaishia kusema hautaki kubishana na sisi kisa tunaandika magazeti marefu, hivyo nasi hatuoni haja ya kubishana na wewe, tunakuchukulia kama an unworthy opponent
 
Use your damn mind, don't think cheap.
Btwn me and you nani ana-think cheap?
Yaani uko hapa kututumua mshipa wa shingo?
Sikiliza wewe kama unadhani duniani unashindana na mtu endelea mpaka pale utakaposikia kuwa malipo yake na kusifiwa tu yaan unajiwekea target za kushinda kwa kumuhudumia mwanamke? Are you that rich?
Simp will always be a simp and they have every sweet words to justify their maniac movements.
 
Kupita kimya kimya haina maana umeandika uhalisia au tumekubaliana na wewe, ni kwamba tumeamua tu kuacha kubishana na wewe sababu hata tukifanya hivyo huna hoja za kutujibu, matokeo yake unaishia kusema hautaki kubishana na sisi kisa tunaandika magazeti marefu, hivyo nasi hatuoni haja ya kubishana na wewe, tunakuchukulia kama an unworthy opponent
Chupi inapoona maslahi yanavurugwa kwa kuhofia labda shemeji atapitia hii posti..
Sikiliza mama la mama we endelea kumchuna tu huyo simp uliye nae
But msidhani kuwa wote wapo kama huyo.
Kama kakununulia na kagari kabisa, kitulize..
Maana tunajua wengi wenu mnaenda power kwa bibi..
Ni muda sasa wanawake watafute pesa zao na sio kuomba omba na kujigeuza kama ni walemavu..
Hawa watu wanaweza kubeba hadi zege..
Ikiwa wamegoma kuwa submissive na wanaendekeza tamaa basi waachwe watafute pesa zao..
Na ajabu ni hii mwanamke akiwa anapiga hata kaukonda au kusukuma mkokoteni utasikia kelele kutoka kwa wanawake wakimbrand like kaikomboa jamii yote kutoka kwenye janga fulani.
Kazi ile ile ambayo wao humdharau na kumnyanyapaa mwanaume akiwa anaifanya like hatoshi hata kuwa jinsia hiyo ya kiume..
 
Kupita kimya kimya haina maana umeandika uhalisia au tumekubaliana na wewe, ni kwamba tumeamua tu kuacha kubishana na wewe sababu hata tukifanya hivyo huna hoja za kutujibu, matokeo yake unaishia kusema hautaki kubishana na sisi kisa tunaandika magazeti marefu, hivyo nasi hatuoni haja ya kubishana na wewe, tunakuchukulia kama an unworthy opponent
Wewe mwagika tu atakaetaka ligi na wewe atajitokeza sio lazima niwe mimi. Infact mimi nilishakupuuza, ndio maana niki-reply comment yako moja au mbili nakupotezea mazima.

Mimi nataka kujadiliana na mtu ambae yupo tayari kujadiliano kwa lengo la kufika hitimisho la pamoja sio mtu ambae anataka kubishana tu for the sake of kubishana
 
Siyo kweli at all! Only that men demand too much even what themselves are unable to give to their wives. Ndoa inahitaji kuendelea kujifunza kumpenda mwenzako Kila siku. By the way, the garbage you heap on your wife she too heaps on you - so you can choose to heap garbage on each other or live freely from heaping garbage on each other. It's your choice. My wife and I have chosen not to heap garbage on each other and we are happy about it.
Say you only and not you and her!!
 
Naomba niseme machache yaliyonikuta japo kwa ufupi ila ndefu kdg ili mnielewe kwa wale watakaoweza kusoma.

Mwaka flan niliwahi kukutana na single mother ambaye jamaa aliyempa mimba alimkataa mtoto tangu akiwa tumboni, So binti aka-move on.

Tukiwa tupo mtaa mmoja Tukaanzisha mahusiano wakati ambapo mtoto ana kama mwaka hv na mambo yalienda vzr, jamaa akawa anakuja kwa demu kumuona mtoto na kwel dogo amefanana na jamaa, na mara nyingi jamaa alikuwa anakuja usiku hvy siku nikitaka kwenda kwa demu halafu kama jamaa yupo bc demu ananiambia yupo na mgeni Then Mm napotezea nilikuwa sifatilii ila nikaja kujua kuwa jamaa hua anakwenda kwa demu ila n mara chache maybe kwa mwezi mara tatu, nikapotezea tuu mana najua wale wamezama wote na kwa maelezo ya demu n hawajawahi kusex.

Kuna kipindi nilifukuzwa kazin kutokana na kupishana kauli na boss wangu, so mambo yangu yalienda vibaya mno.
Ila bado nilikuwa nikimtimizia mahitaji yake yule demu japokuwa tulikuwa hatuishi pamoja, kipindi fulani akataka kuhama kwenda kuishi mtaa mwngn nkatoa pesa ili kukamilisha yeye kuondoka mtaa ule huku tukiwekeana ahadi kuwa baada ya yeye kuondoka bc tutaenda kuishi wote hapo So mm nilimuamini na nkatoa kodi ya mwaka mzima pamoja na kununua baadhi ya vitu vya ndani yn zaidi ya 60% ya vitu ndani nilinunua kwa pesa yangu + kodi ya mwaka mzima (hapo bado sina kazi hvy nlkuwa natumia akiba yangu niliyokuwa nayo wakati nafanya kazi)

Pamoja na hayo pia aliniomba nimfungulie biashara ila nilimwambia asubiri mana nmetumia pesa nyingi kwake na pia kuna pesa niliwekeza mahali So kwa kipindi kile sikuwa na pesa kabisa na hiyo biashara ilikufa nikiwa sijaingiza ht mia kama faida. So kuhusu kumfungulia biashara ikashindikana kwa wakati ule ila nilimuahidi kumfungulia hy biashara.

Akiwa tayari amehamia kwenye hayo makazi mapya ndipo mambo yalipoanza kuvurugika zaidi, kugombana nae ilikuwa n kila siku, kunitukana matusi makubwa mno, kunidharau na kila aina ya mabaya alinifanyia ila mm nilikuwa nikimvumilia mana sikutaka kuanzisha mahusiano na mwanamke mwngn mana binafsi hua n mgumu sana kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake na ndio mana sina idadi kubwa ya wanawake waliowahi kuwa nao kwenye mahusiano nadhani hawafikii hata wanawake nane ambao nshawahi kuwa nao.

Tukigombana anakaa siku kadhaa anarudi kuniomba msamaha (bado tulikuwa hatuishi pamoja) Then maisha ya yaendelea na sema ukweli tukiwa sawa hua tunaishi vzr kiasi kwamba unasema huyu ndie mwanamke wa kuoa.
Kilichofanya nisiishi nae n kwa sababu kipindi hicho sikuwa na pesa hvy nilikuwa nawaza sana nikiishi nae nitamlisha nini na huyo mwanae so ni bora nisiishi nae ili akipewa pesa ya matumizi na huyo aliyezaa nae bc iweze kumtosha yeye na mwanae kuliko na mm niwepo hapo niwe nategemea kula hy pesa ya huyo mwanaume mwngn na pia Mm nlkuwa nikitoka kupambana huko nilikuwa nikimpatia pesa ya matumizi japokuwa sio kila siku. Lkn huyo mwanamke bado akawa ananidharau mno na kila siku tulikuwa tukigombana kwa sababu za kijinga tuu ambazo yeye ndie ameanzisha.

Kumbe huku nyuma mzee mwenye nyumba alitaka kurekebisha mikataba kutokana na kutaka kwenda kukopa pesa benki hvy pale kwenye jina langu kwenye mkataba demu aliondoa jina langu na kuweka lake kwamba yeye ndie mwenye chumba. Hilo pia nilinyamaza na sikutaka kupigiana kelele nae mana kwa kiasi fulani nilianza kuchoka kuwa nae mana kila siku alikuwa mtu wa kunisababishia stress. Mpaka ikafika wakati akanipiga marufuku kukanyaga pale anapoishi.

Kuna siku tukiwa nae nikaanzisha story kuwa nlishawahi kumuona akiingia gest na mwanaume (nilifanya utani ila nikiwa na sura ya serious) bahati nzuri au mbaya akakubali n kweli aliwahi kutoka na mwanaume na walitumia kinga na alifanya hvy kwa sababu hakuwa na jinsi ya kufanya mana hakuwa na pesa ya kuendesha maisha yake mana Mm kwa kipind hicho sikuwa na kazi pia yule aliyezaa nae alikuwa akimzungua kumpa pesa ya matumizi, hii kitu iliniuma sana ila nikapotezea. Na kutokana na mambo yake najua kuna wanaume wengi ametoka naye ila nimenyamaza.

Nashukuru mungu kuna mahali nilipata kazi japokuwa mshahara mdogo lkn nashukuru Mungu mambo yangu yalikuwa yakienda, na yule demu bado nilikuwa naye japokuwa sio kuishi nae, so alikuwa anakuja kwangu anakaa siku kadhaa huku mtoto akiwa kwa dada yake Then anarudi kumchukua mwanae na siku nyingine nlkuwa nikienda kwa demu.

Tuliendelea kuishi hvy hvy kwa kugombana na kurudiana na hayo yote n yeye alikuwa akiyaanzisha yn ugomvi pamoja na mapatano, Mm nilikuwa mpole wakati wote mana sikutaka kuwa na mahusiano mngn zaidi yake tuu.

Kuna siku akaomba nimuanzishie biashara na akapiga hesabu ya kiasi kinachohitajika kwenye hiyo biashara na nikamjibu sawa napambana kupata hiyo pesa, ila dah nawaza kama huyu huyu ndie amekuwa mwiba kwenye maisha yangu kwamba nilitumia kiasi kikubwa cha pesa ili kumfurahisha wakati ambao Mm sina kazi na akalipa kwa kunionyesha dharau na matusi juu halafu huyu huyu tena nimuanzishie biashara si mambo yatakuwa yale yale ataweza kunifukuza hata hapo kwenye biashara niliyomfungulia mwnyw, nikaona hii hapana siwez kumfungulia biashara hvy ngoja ninyamaze niendelee kusikiliza kelele zake za kutaka kumfungulia biashara.

Ndugu zangu, pesa ambazo nmetumia kwa huyo single mother nngesema nijiajiri hakika nngepiga hatua kubwa kwenye maisha yangu ila nilifanya hayo kwake ili kumfurahisha mana nilimuamini ila bado akaniumiza.

Mpaka muda huu bado nipo nae ila kwa kweli sioni future nae mana kila wakati mm na yeye n kugombana tuu, sasa kama mtu hawezi kuwa mwaminifu sasa hv je atakuwa mwaminifu tukiwa kwenye ndoa! Hilo n hapana.
Japokuwa inaniumiza kuachana nae ila ni bora iwe sasa kuliko huko mbele itakavyokuwa nikiwa nitaendelea kulazimisha kuwa nae.


Someone once said 'if you get on the wrong train, be sure to get off at the first stop. The longer you stay on, the more expensive the return trip is going to cost you'

They weren't talking about trains 😎
Mkuu,
Achana na huyo mwanamke acha ujinga. Umepoteza mda wako mwingi, pesa zako nyingi kwa mtu asiyestahili.

Hivi huwa mnawaza nini mkiingia kwa mahusiano?
 
Mkuu,
Achana na huyo mwanamke acha ujinga. Umepoteza mda wako mwingi, pesa zako nyingi kwa mtu asiyestahili.

Hivi huwa mnawaza nini mkiingia kwa mahusiano?
Dah Mpare mwenzangu, yn najuta knoma yn kila nikimuwaza roho yangu inauma sana mana niliwekeza mno kwa huyo single mother Ila bado nikalipwa tofauti.

Najitahidi kumpotezea ila siku akijirud najikuta namsamehe, maybe kwa sababu Mm sina orodha ndefu ya wanawake So tofauti na yeye sina mwanamke mwngn na sipendi kuwa na mahusiano na wanawake wengi. Ila tayari ana rangi ya njano akilini mwangu So soon tuu itageuka kwenye red, ngoja tuu niwekeze akili yangu kwenye shughuli zangu.
 
Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn or perish.
Sasa kwa wale mashangazi matajiri na hakuna wa kuwapiga miti inakuwaje?
 
Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn or perish.
Nakazia hapa
 
Naomba niseme machache yaliyonikuta japo kwa ufupi ila ndefu kdg ili mnielewe kwa wale watakaoweza kusoma.

Mwaka flan niliwahi kukutana na single mother ambaye jamaa aliyempa mimba alimkataa mtoto tangu akiwa tumboni, So binti aka-move on.

Tukiwa tupo mtaa mmoja Tukaanzisha mahusiano wakati ambapo mtoto ana kama mwaka hv na mambo yalienda vzr, jamaa akawa anakuja kwa demu kumuona mtoto na kwel dogo amefanana na jamaa, na mara nyingi jamaa alikuwa anakuja usiku hvy siku nikitaka kwenda kwa demu halafu kama jamaa yupo bc demu ananiambia yupo na mgeni Then Mm napotezea nilikuwa sifatilii ila nikaja kujua kuwa jamaa hua anakwenda kwa demu ila n mara chache maybe kwa mwezi mara tatu, nikapotezea tuu mana najua wale wamezama wote na kwa maelezo ya demu n hawajawahi kusex.

Kuna kipindi nilifukuzwa kazin kutokana na kupishana kauli na boss wangu, so mambo yangu yalienda vibaya mno.
Ila bado nilikuwa nikimtimizia mahitaji yake yule demu japokuwa tulikuwa hatuishi pamoja, kipindi fulani akataka kuhama kwenda kuishi mtaa mwngn nkatoa pesa ili kukamilisha yeye kuondoka mtaa ule huku tukiwekeana ahadi kuwa baada ya yeye kuondoka bc tutaenda kuishi wote hapo So mm nilimuamini na nkatoa kodi ya mwaka mzima pamoja na kununua baadhi ya vitu vya ndani yn zaidi ya 60% ya vitu ndani nilinunua kwa pesa yangu + kodi ya mwaka mzima (hapo bado sina kazi hvy nlkuwa natumia akiba yangu niliyokuwa nayo wakati nafanya kazi)

Pamoja na hayo pia aliniomba nimfungulie biashara ila nilimwambia asubiri mana nmetumia pesa nyingi kwake na pia kuna pesa niliwekeza mahali So kwa kipindi kile sikuwa na pesa kabisa na hiyo biashara ilikufa nikiwa sijaingiza ht mia kama faida. So kuhusu kumfungulia biashara ikashindikana kwa wakati ule ila nilimuahidi kumfungulia hy biashara.

Akiwa tayari amehamia kwenye hayo makazi mapya ndipo mambo yalipoanza kuvurugika zaidi, kugombana nae ilikuwa n kila siku, kunitukana matusi makubwa mno, kunidharau na kila aina ya mabaya alinifanyia ila mm nilikuwa nikimvumilia mana sikutaka kuanzisha mahusiano na mwanamke mwngn mana binafsi hua n mgumu sana kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake na ndio mana sina idadi kubwa ya wanawake waliowahi kuwa nao kwenye mahusiano nadhani hawafikii hata wanawake nane ambao nshawahi kuwa nao.

Tukigombana anakaa siku kadhaa anarudi kuniomba msamaha (bado tulikuwa hatuishi pamoja) Then maisha ya yaendelea na sema ukweli tukiwa sawa hua tunaishi vzr kiasi kwamba unasema huyu ndie mwanamke wa kuoa.
Kilichofanya nisiishi nae n kwa sababu kipindi hicho sikuwa na pesa hvy nilikuwa nawaza sana nikiishi nae nitamlisha nini na huyo mwanae so ni bora nisiishi nae ili akipewa pesa ya matumizi na huyo aliyezaa nae bc iweze kumtosha yeye na mwanae kuliko na mm niwepo hapo niwe nategemea kula hy pesa ya huyo mwanaume mwngn na pia Mm nlkuwa nikitoka kupambana huko nilikuwa nikimpatia pesa ya matumizi japokuwa sio kila siku. Lkn huyo mwanamke bado akawa ananidharau mno na kila siku tulikuwa tukigombana kwa sababu za kijinga tuu ambazo yeye ndie ameanzisha.

Kumbe huku nyuma mzee mwenye nyumba alitaka kurekebisha mikataba kutokana na kutaka kwenda kukopa pesa benki hvy pale kwenye jina langu kwenye mkataba demu aliondoa jina langu na kuweka lake kwamba yeye ndie mwenye chumba. Hilo pia nilinyamaza na sikutaka kupigiana kelele nae mana kwa kiasi fulani nilianza kuchoka kuwa nae mana kila siku alikuwa mtu wa kunisababishia stress. Mpaka ikafika wakati akanipiga marufuku kukanyaga pale anapoishi.

Kuna siku tukiwa nae nikaanzisha story kuwa nlishawahi kumuona akiingia gest na mwanaume (nilifanya utani ila nikiwa na sura ya serious) bahati nzuri au mbaya akakubali n kweli aliwahi kutoka na mwanaume na walitumia kinga na alifanya hvy kwa sababu hakuwa na jinsi ya kufanya mana hakuwa na pesa ya kuendesha maisha yake mana Mm kwa kipind hicho sikuwa na kazi pia yule aliyezaa nae alikuwa akimzungua kumpa pesa ya matumizi, hii kitu iliniuma sana ila nikapotezea. Na kutokana na mambo yake najua kuna wanaume wengi ametoka naye ila nimenyamaza.

Nashukuru mungu kuna mahali nilipata kazi japokuwa mshahara mdogo lkn nashukuru Mungu mambo yangu yalikuwa yakienda, na yule demu bado nilikuwa naye japokuwa sio kuishi nae, so alikuwa anakuja kwangu anakaa siku kadhaa huku mtoto akiwa kwa dada yake Then anarudi kumchukua mwanae na siku nyingine nlkuwa nikienda kwa demu.

Tuliendelea kuishi hvy hvy kwa kugombana na kurudiana na hayo yote n yeye alikuwa akiyaanzisha yn ugomvi pamoja na mapatano, Mm nilikuwa mpole wakati wote mana sikutaka kuwa na mahusiano mngn zaidi yake tuu.

Kuna siku akaomba nimuanzishie biashara na akapiga hesabu ya kiasi kinachohitajika kwenye hiyo biashara na nikamjibu sawa napambana kupata hiyo pesa, ila dah nawaza kama huyu huyu ndie amekuwa mwiba kwenye maisha yangu kwamba nilitumia kiasi kikubwa cha pesa ili kumfurahisha wakati ambao Mm sina kazi na akalipa kwa kunionyesha dharau na matusi juu halafu huyu huyu tena nimuanzishie biashara si mambo yatakuwa yale yale ataweza kunifukuza hata hapo kwenye biashara niliyomfungulia mwnyw, nikaona hii hapana siwez kumfungulia biashara hvy ngoja ninyamaze niendelee kusikiliza kelele zake za kutaka kumfungulia biashara.

Ndugu zangu, pesa ambazo nmetumia kwa huyo single mother nngesema nijiajiri hakika nngepiga hatua kubwa kwenye maisha yangu ila nilifanya hayo kwake ili kumfurahisha mana nilimuamini ila bado akaniumiza.

Mpaka muda huu bado nipo nae ila kwa kweli sioni future nae mana kila wakati mm na yeye n kugombana tuu, sasa kama mtu hawezi kuwa mwaminifu sasa hv je atakuwa mwaminifu tukiwa kwenye ndoa! Hilo n hapana.
Japokuwa inaniumiza kuachana nae ila ni bora iwe sasa kuliko huko mbele itakavyokuwa nikiwa nitaendelea kulazimisha kuwa nae.


Someone once said 'if you get on the wrong train, be sure to get off at the first stop. The longer you stay on, the more expensive the return trip is going to cost you'

They weren't talking about trains 😎
Sababu ipi inakufanya iwe ngumu kumuacha? au kwasababu ya utamu?
 
Baharia nakufatilia kitambo tu hukosei...ukiona demu anaanza kuweka ratiba zake ujue ana mpango wake kando ya wewe.
Niliwai kuwa na manzi mwanzoni alikuwa anataka tuonane mara kwa mara ila alipoona siku zinakwenda mfukoni sieleweki nikaachwa kwa vitendo sio maneno.
Leo mambo yamebadilika kidogo matatizo madogo sina anarudi kwa 5G mzigo naletewa hata kama sijamwita.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Unatakiwa umtumie vilivyo bila kumpa mkataba mpya. Huyo hafai kwa matumizi ya muda mrefu ukifulia ataanza sinema upya.
 
Back
Top Bottom