Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
- Thread starter
-
- #21
Mkuu nikutakie pole sana maana aisifuye mvua imemnyea. Siku nyingine onesha ushirikiano hata kama demu humkubali usimletee jeuri ni bora umgonge umuache kuliko kumletea nyodo tu. Huenda akafarijika
Eh hio ndio inatakiwa, usimuache tapeli aishiMkuu Kuna demu nilitokeaga kumpenda akaniletea nyodo,akazuga kunipenda kumbe ananiigizia tu akawa anakula Mali zangu, nikapiga chini nikaendelea na maisha yangu mengine,Sasa juzi Kati dada alirudi analia eti nimsamehe anataka kurudiana nami nikwambia Wala sikutaki acha KARMA ikutafune tu 😂
Kwanini wanawake mkuuIngekuwa hivyo wanawake karma ingewatafuna sana,....
Sasa ananipenda alaf Mimi simpendi, what's wrong with that? Acha kutumia neno Karma kwenye sehemu zisizosahihi.KARMA says;
You'll certainly fall in love with someone who doesn't love you at all. Infact you'll be his/ her pet hate...she/ he will hate you with a great passion
....Just because you didn't love back someone who loved you so much before.In this case,KARMA will be playing its role in terms of compensation.
Kuna fulani huko nje analililia penzi lako ila wewe unakausha tu as if hujaona kitu.Wewe endelea kumkaushia tu Ila dada/ Kaka yangu nakwambia hutakufa kabla KARMA haijafanya Yake maishani mwako.
Nakwambia ipo siku utakuja kumzikia mtu ambaye hatokaa akupende hata sekunde Moja.Ila wewe utashindwa kujizuia kwake siku nenda siku Rudi. Utabaki kumlilia ila yeye hatakuwa na muda na wewe,atakuwa busy na mahusiano mengine na mbaya zaidi atakuwa anakuonesha live live jinsi anavyopendwa na mtu wake.Ila wewe bado utaendelea kumkomalia tu.
Hapo KARMA itakuwa inamlipizia kisasi yule mtu ambaye aliteseka Sana kwako ila hukumpenda kbsa.
Unayempenda hakupendi Vs anayekupenda humpendi
The law of KARMA applies everywhere in life.
Unanitafuta sasa maneno😆😆😆 Mie nahusiana nini na hii topic jaman
Don't get it twisted or rather take things out of their context bro.Kuna watu huwa wanatokea kuoendwa na wenzao alafu wait hawawapendi in return but wanazuga kwamba wanawapenda ili watimize lengo lao la kuwachuna.Sasa ananipenda alaf Mimi simpendi, what's wrong with that? Acha kutumia neno Karma kwenye sehemu zisizosahihi.
What if nimemkubalia anayenipenda, alaf akajitokeza mwingine naye ananipenda, so na yeye nimkubalie for sake of Karma?
Duh ngoja nianze kumpenda[emoji2955]KARMA says;
You'll certainly fall in love with someone who doesn't love you at all. Infact you'll be his/ her pet hate...she/ he will hate you with a great passion
....Just because you didn't love back someone who loved you so much before.In this case,KARMA will be playing its role in terms of compensation.
Kuna fulani huko nje analililia penzi lako ila wewe unakausha tu as if hujaona kitu.Wewe endelea kumkaushia tu Ila dada/ Kaka yangu nakwambia hutakufa kabla KARMA haijafanya Yake maishani mwako.
Nakwambia ipo siku utakuja kumzikia mtu ambaye hatokaa akupende hata sekunde Moja.Ila wewe utashindwa kujizuia kwake siku nenda siku Rudi. Utabaki kumlilia ila yeye hatakuwa na muda na wewe,atakuwa busy na mahusiano mengine na mbaya zaidi atakuwa anakuonesha live live jinsi anavyopendwa na mtu wake.Ila wewe bado utaendelea kumkomalia tu.
Hapo KARMA itakuwa inamlipizia kisasi yule mtu ambaye aliteseka Sana kwako ila hukumpenda kbsa.
Unayempenda hakupendi Vs anayekupenda humpendi
The law of KARMA applies everywhere in life.