cha msingi wakiimega hawachomoki nayo.
Kama ndivyo kuwa mpole tuu, hakuna namnaSasa kama huwezi kuafford flight
Umemaliza haswaaahMwanamke wako kama “beki hazikabi” anaweza kwenda kuvua chupi mtaa wa pili tu hapo huku kakuacha ndani unaangalia TV
Ni tabia tu na wala sio sijui sound au mchoko wa safari
Wewe katili sanaUnasema Dar -Bukoba au Dar -Kigoma sijui Tabora, mbali kote huko? Mimi nishakula Demu kutoka Mbeya mpaka Iringa tu! Akapitiliza Mafinga ambapo ilibidi ashuke, akamwambia mai wake gari imeharibika akazima simu! Nikanyoosha nae mpaka Iringa mjini, kesho yake asubuhi nikampa nauli akaenda kwa jamaa yake