Ukimruhusu mpenzi wako asafiri safari za masaa 24, umeumia!

Ukimruhusu mpenzi wako asafiri safari za masaa 24, umeumia!

ningekua me ndo nimemuekea hyo hapo kati ningekua naumia nikigongewa lkn kwa vile ni yake binafsi sina hofu yeye agawe awezavyo

Pole kwa hilo.
Acha kujifariji hakuna kitu kinaumiza kama kusikia manzi yako analiwa
 
Wewe unasema safari ya masaa 24 ? Wakati kama ni taabia yake hata ukiwa nae anakuaga anafika hapo mtaa wa saba analiwa vizuri tu kisha anairudisha!

Kikubwa tu ni uaminifu vingine Mungu atalinda sio wewe binadam.
 
Mkuu hao ulio walaa nikina mwajuma ndala ndefuuu
 
Acha aliwe tuu uzuri haondoki nacho,
Nilisha mtembelea demu kwake akawa ametoka masaa kadhaa nikasema ebu ngoja nisearch begi lake nikaanza kukuta mara P2, kuzama tena Misoprostol, ikabidi niache nahisi ningetoka na ARV
 
Hizi ni safari zote zinazotumia muda mrefu kwenye basi kama za kutoka Dar-Mwanza, Dar-Kagera, Dar-Tabora, Dar-Kigoma na kadhalika.

Ndugu zangu nawaambia unapomruhusu hizi safari awepo mwenyewe bila uwepo wako basi unamegewa kila siku.

Mimi binafsi nishasafiri hizi safari zaidi ya mara tano na mara zote demu ninayekaa nae siti moja lazima aliwe.

Unakuta gari inafika saa 7 hadi 8 za usiku muda ambao ashapigwa sound zamani kwaio wewe ni kumshika mkono tu na kusogea zenu nyumba ya wageni.

Yaani tena hata kama ukimtuma mtu wa kumpokea kazi bure techniq wanayoitumia utaambiwa kuna rafiki yangu kaja kunipokea hapo ndo ushike kichwa kabisa unachapiwa.

NAISHIA HAPO MSIJE MKASEMA HAMKUAMBIWA
Umepata faida gani kuwala hao watano. Utoto raha sana
 
Babu mawe unanin lakin thread zako za love love tuu veep tujuze au ndio Mwalim wa love
 
Back
Top Bottom