Shem limbwata lako kiboko. Leo chama limepwaya. Waweza mwelekeza kongosho ulipolinunulia? Mi luvs limbwata of this kind asee. Happy valentines darling shem. Mi niko na my darling valentine nanyonya na kudeka. This mama of mine is an angel on earth.Shem hivi ukiwa unaongea kuhusu habari zako nayo ni umbea? I wonder...
mbona sasa hapo utakua umenikaba nisiwe na brag?
Happy Valentine darling shem.
Yeah' kutongoza is an art....
afu kama ni siku ya kwanza mnaonana, usiende ukiwa umavunja kabati.
Namaanisha, usiende umevaa nguo zako za ubatizo
Tumshukuru Kaizer...Wakuu mabibi na Mabwana
Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema.
Kitu kimoja kinanishangaza sana nimeona ni muhimu tukapeana ushauri hasa kwa siye tunaojiona Wanaume.
Ukimtaka msichana, ukataka awe mpenzi wako, katika shida na raha, watakiwa kwanza:
- Uwe na uwezo wa kusimama kama MWANAUME...both in public and in private, uonyeshe kuwa waweza kumtetea mpenzi wako to be katika shida yeyote, waweza kumprotect, to say the least.
- Usije hata siku moja, ukamtaka msichana kwa gia ya kumpakazia rafiki yako (ambaye unahisi anamfukuzia), kumsemea vibaya/mabaya lengo likiwa kumpaint kama a bad boy. Amini usiamini, kwa kufanya hivyo wampandisha chati rafiki yako, na kujidharaulisha kwa huyo mwanamke...HUTAMPATA. DON'T be a coward....speak it out
- Katika kumwaga sera za mapenzi a.k.a kutongoza, kuna KUKUBALIWA, KUSUBIRISHWA, Na KUKATALIWA pia. Amin nakuambia, KUWA TAYARI kukubaliana na majibun utakayopewa, Tambua kuwa you are not so special and you may NOT simply be her type. PESA, MALI etc haviwezi KUNUNUA moyo wa mwanamke yeyote MWADILIFU.
Na hilo ndilo neno la LEO, siku ya wapendanao.
- Elewa kuwa mwanaume kuwa mmbea sio sifa hata kidogo mbele ya mwanamke....Mwanaume unatakiwa unapokuwa na mpenzi wako, uonyeshe upeo wako wa uelewa wa mambo mbalimbali, uhodari wa kupanga mipango ya maendeleo na kimapenzi...sio uhodari wa kuongea mambo ya watu!
- Ujue kusema/kutumia neno SAMAHANI. Amini nakuambia, hutajuta kamwe kulitumia for you will always be rewarded.
Baada ya kusema hayo, nawakaribisha wengineo wajazilizie, of course najiandaa kuja na part 2 kwa upande wa kina dada.
Happy valentine!😛oa
Happy valentine!😛oa
hahahah acha uongo kwa asili si wanaume ni nchi ,mwanamke ni mwananchi anaenda nchi ambayo sheria zake anaweza wengine wanapenda nchi za kiislamu,kidikteta ,kidemocrasia ,kijamaa, e.t.c so just be you and pop ya true colors mapema ,its magic someone will come 4 u.Wakuu mabibi na Mabwana
Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema.
Kitu kimoja kinanishangaza sana nimeona ni muhimu tukapeana ushauri hasa kwa siye tunaojiona Wanaume.
Ukimtaka msichana, ukataka awe mpenzi wako, katika shida na raha, watakiwa kwanza:
- Uwe na uwezo wa kusimama kama MWANAUME...both in public and in private, uonyeshe kuwa waweza kumtetea mpenzi wako to be katika shida yeyote, waweza kumprotect, to say the least.
- Usije hata siku moja, ukamtaka msichana kwa gia ya kumpakazia rafiki yako (ambaye unahisi anamfukuzia), kumsemea vibaya/mabaya lengo likiwa kumpaint kama a bad boy. Amini usiamini, kwa kufanya hivyo wampandisha chati rafiki yako, na kujidharaulisha kwa huyo mwanamke...HUTAMPATA. DON'T be a coward....speak it out
- Katika kumwaga sera za mapenzi a.k.a kutongoza, kuna KUKUBALIWA, KUSUBIRISHWA, Na KUKATALIWA pia. Amin nakuambia, KUWA TAYARI kukubaliana na majibun utakayopewa, Tambua kuwa you are not so special and you may NOT simply be her type. PESA, MALI etc haviwezi KUNUNUA moyo wa mwanamke yeyote MWADILIFU.
Na hilo ndilo neno la LEO, siku ya wapendanao.
- Elewa kuwa mwanaume kuwa mmbea sio sifa hata kidogo mbele ya mwanamke....Mwanaume unatakiwa unapokuwa na mpenzi wako, uonyeshe upeo wako wa uelewa wa mambo mbalimbali, uhodari wa kupanga mipango ya maendeleo na kimapenzi...sio uhodari wa kuongea mambo ya watu!
- Ujue kusema/kutumia neno SAMAHANI. Amini nakuambia, hutajuta kamwe kulitumia for you will always be rewarded.
Baada ya kusema hayo, nawakaribisha wengineo wajazilizie, of course najiandaa kuja na part 2 kwa upande wa kina dada.
Happy valentine!😛oa
Shem limbwata lako kiboko. Leo chama limepwaya. Waweza mwelekeza kongosho ulipolinunulia? Mi luvs limbwata of this kind asee. Happy valentines darling shem. Mi niko na my darling valentine nanyonya na kudeka. This mama of mine is an angel on earth.
Na kukubaliana na matakwa ya mtongozaji nayo ni art au unakuwa tayari umenasa mtegoni mwa mtongozaji?
Naomba kufundishwa jinsi ya kuisherekea hii siku jamani.
Kwa ambae yupo tayari tuzame PM
Mkuu, hao waadilifu mbona kama karibu wanakwisha kabisa kwenye hizi enzi zetu? Simaanishi kwamba hawapo, lakini kama Marijani (RIP) alivyoimba, '.... kwenye watu kumi binadamu mmoja", naye kumpata ndo shughuli!
Wakuu mabibi na Mabwana
Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema.
Kitu kimoja kinanishangaza sana nimeona ni muhimu tukapeana ushauri hasa kwa siye tunaojiona Wanaume.
Ukimtaka msichana, ukataka awe mpenzi wako, katika shida na raha, watakiwa kwanza:
- Uwe na uwezo wa kusimama kama MWANAUME...both in public and in private, uonyeshe kuwa waweza kumtetea mpenzi wako to be katika shida yeyote, waweza kumprotect, to say the least.
- Usije hata siku moja, ukamtaka msichana kwa gia ya kumpakazia rafiki yako (ambaye unahisi anamfukuzia), kumsemea vibaya/mabaya lengo likiwa kumpaint kama a bad boy. Amini usiamini, kwa kufanya hivyo wampandisha chati rafiki yako, na kujidharaulisha kwa huyo mwanamke...HUTAMPATA. DON'T be a coward....speak it out
- Katika kumwaga sera za mapenzi a.k.a kutongoza, kuna KUKUBALIWA, KUSUBIRISHWA, Na KUKATALIWA pia. Amin nakuambia, KUWA TAYARI kukubaliana na majibun utakayopewa, Tambua kuwa you are not so special and you may NOT simply be her type. PESA, MALI etc haviwezi KUNUNUA moyo wa mwanamke yeyote MWADILIFU.
Na hilo ndilo neno la LEO, siku ya wapendanao.
- Elewa kuwa mwanaume kuwa mmbea sio sifa hata kidogo mbele ya mwanamke....Mwanaume unatakiwa unapokuwa na mpenzi wako, uonyeshe upeo wako wa uelewa wa mambo mbalimbali, uhodari wa kupanga mipango ya maendeleo na kimapenzi...sio uhodari wa kuongea mambo ya watu!
- Ujue kusema/kutumia neno SAMAHANI. Amini nakuambia, hutajuta kamwe kulitumia for you will always be rewarded.
Baada ya kusema hayo, nawakaribisha wengineo wajazilizie, of course najiandaa kuja na part 2 kwa upande wa kina dada.
Happy valentine!😛oa
Wakuu mabibi na Mabwana
Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema.
Kitu kimoja kinanishangaza sana nimeona ni muhimu tukapeana ushauri hasa kwa siye tunaojiona Wanaume.
Ukimtaka msichana, ukataka awe mpenzi wako, katika shida na raha, watakiwa kwanza:
- Uwe na uwezo wa kusimama kama MWANAUME...both in public and in private, uonyeshe kuwa waweza kumtetea mpenzi wako to be katika shida yeyote, waweza kumprotect, to say the least.
- Usije hata siku moja, ukamtaka msichana kwa gia ya kumpakazia rafiki yako (ambaye unahisi anamfukuzia), kumsemea vibaya/mabaya lengo likiwa kumpaint kama a bad boy. Amini usiamini, kwa kufanya hivyo wampandisha chati rafiki yako, na kujidharaulisha kwa huyo mwanamke...HUTAMPATA. DON'T be a coward....speak it out
- Katika kumwaga sera za mapenzi a.k.a kutongoza, kuna KUKUBALIWA, KUSUBIRISHWA, Na KUKATALIWA pia. Amin nakuambia, KUWA TAYARI kukubaliana na majibun utakayopewa, Tambua kuwa you are not so special and you may NOT simply be her type. PESA, MALI etc haviwezi KUNUNUA moyo wa mwanamke yeyote MWADILIFU.
Na hilo ndilo neno la LEO, siku ya wapendanao.
- Elewa kuwa mwanaume kuwa mmbea sio sifa hata kidogo mbele ya mwanamke....Mwanaume unatakiwa unapokuwa na mpenzi wako, uonyeshe upeo wako wa uelewa wa mambo mbalimbali, uhodari wa kupanga mipango ya maendeleo na kimapenzi...sio uhodari wa kuongea mambo ya watu!
- Ujue kusema/kutumia neno SAMAHANI. Amini nakuambia, hutajuta kamwe kulitumia for you will always be rewarded.
Baada ya kusema hayo, nawakaribisha wengineo wajazilizie, of course najiandaa kuja na part 2 kwa upande wa kina dada.
Happy valentine!😛oa
Thank you Kaizer, happy valentine day too. 🙂:A S embarassed::A S embarassed: RR...what was to be expected jamani...I am Kaizer, and I will remain just that....Happy valentine too RR....:busu
I am so happy for you, happy valentine day! me naendelea na mpango wango wa ku-MasturDate leo. (yani this word from King'asti kills me! :lol: )Alter.... frankly speaking.... I did not expect this either.... Nilifikiri mambo ya kikazi zaidi ambayo huniumizaga tumbo... enways I am so glad. I think nipokee hizo pongezi thou still holding my breath...lol... Thanks hun', valentine leo nishaona dalili; It will be Great! (Of coz hii post nimeiweka katika ignore list yake... hataweza soma)
Fidel mbona hujibu pm yangu? au kwangu utaki kuyapokea?
...wakumbushe kamanda, mwenyewe nimejikumbusha mawili matatu, thx....very useful sredi...
Mi hii siku imenipitia kushoto sana kwa vile sijui nini maana ya kupenda mpwa?
...haha, pole kamanda.....je, kupendwa wajua?