Ukimtaka Mwanamke/msichana...the Do's and Don'ts

Ebwaaaaaaana eeeeeeeh, Hebu tuchezee hiyo chorus katika F major?
 
................endelea na kale kasehemu ka wimbo wa huyohuyo Marijani Rajabu kasemacho..............."penye udhia penyeza............", we nacheza na pesa wewe,..............itajileta yenyewe haitaweza kusubirisha mimi atiiiiii!

​Mkuu, hao wanaopatikana kwa kupenyeza rupia wako wengi kama maji ya bahari, lakini ujue siku rupia zimepiga chenga ndo nao huwaoni.
 
RR, sorry hivi kama Mod umenionea Mpwa wangu Mwali sehemu yeyote humu jamvini? She is conspicuously missing here...:A S-coffee:
Anti, naona Uncle hajashtukia kua nilikua na Husninyo toka Valentine's Day... we had so much fun jamani. Ngoja nimwachie chai yake with a red rose akija aikute... please don't tell him I didn't sleep home... pleaaaase...😛ray2:

 
Anti, naona Uncle hajashtukia kua nilikua na Husninyo toka Valentine's Day... we had so much fun jamani. Ngoja nimwachie chai yake with a red rose akija aikute... please don't tell him I didn't sleep home... pleaaaase...😛ray2:



Thank you Mwali....thank you,,,,sasa basi naomba urudishe ile signature yako....sijaaambiwa bado kama hukulala nyumbani!:juggle:
 
Hao ndio watafiti wetu bwana,hata yule aliyesema nusu ya wanaume ni wagumba nilishangaa sana sample yake,eti ni wagonjwa walienda kupata tiba kwake.. khaaa kweli utafiti umeingiliwa,akaja kuaribu eti ukibeba laptop unaweza kupata ugumba kwa mwanamme, hivi kuna uhusiano gani laptop ipo kwenye beg naibeba mkonon lakn huku kwenye dushelele kupate ugumba?.

Baada ya kusema hayo......

Hommie hebu niambie kama ujumbe umeeleweka kwa watu au niongeze msisitizo...
:focus:
 
Skamoo babu, bibi yetu mzima?
leo nilikuskia uliamka mapema,
nikabaki kujiuliza... :A S 39:
 
hahahahaha, skamoo uncle! mi nilikua na Husninyo na Fang.
Signature nitarudisha sasa hivi uncle.

mmmh...Mwali angalia...hao Fang na Hus watakufundisha 'njia mbaya'

come back home...sawa
 

hommie shule zetu hizi za siku hizi sidhani kama ujumbe umeeleweka......hebu uweke waaaaz zaidi!
 
Anti, naona Uncle hajashtukia kua nilikua na Husninyo toka Valentine's Day... we had so much fun jamani. Ngoja nimwachie chai yake with a red rose akija aikute... please don't tell him I didn't sleep home... pleaaaase...😛ray2:

aisseee kweli wewe huwezi mficha ankal wako kitu! lol..... Sasa unaona sasa Husny atakua na wakati mgumu.... My mwali uje tuongee tuweke mambo sawa, uzuri ankal kasoma hii post hajaelewa....lol

hahaha ODM Mwali hakaguliwi bila ruhusa ya Ankal wake...hii hata Antie yake AshaDii hawezi kumpa kabisa..:A S-coffee:


Sweetie.... naomba ruhusa, lemme take care of ODM, nimueleweshe, from you yaaan hakupati kabisa.... what say you hun'?
 
hommie shule zetu hizi za siku hizi sidhani kama ujumbe umeeleweka......hebu uweke waaaaz zaidi!
Hommie hebu ngoja nikadadavue uanaume...!

Yaani kwa kifupi mwanaume SI MBEA!!!
 

My place or yours?
 
My place or yours?



Mine would be preferable.... My man would like to know you too... Karibu saana, it is beta you say the kind you food and drink you like mapema kabisa.....😛oa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…