Ukimtaka Mwanamke/msichana...the Do's and Don'ts

Mine would be preferable.... My man would like to know you too... Karibu saana, it is beta you say the kind you food and drink you like mapema kabisa.....😛oa

Is this swinging? if yes, count me in.
 
Is this swinging? if yes, count me in.



C'mon man!!! Do I look like the typo who can rely on a Man who entertains Swinging??
My theory is Swinging is for those who can not handle it.... :eyebrows: I am possessive.... thus it hits both ways I guess....lol
 
Mkuu Kaizer, nakupongeza kwa thread nzuri inayoishi. Kifupi umegusa mengi ya muhimu na yenye ukweli kwa kiasi fulani. Kwa lengo la kukumbushana na kufahamishana juu ya mambo haya umefanikiwa. LAKINI angalizo langu kwako ni juu ya Approach uliyoitumia. Ki ukweli si muda wote mambo huwa hiyo. Swala la utongozaji ni sanaa, lahitaji ubunifu wa muhusika tena kwa kuzingatia hali iliyopo. So si muda wote haya huusika. Ktk hayo mambo uliyo ya ignore kuna baadhi ya ladies wayapendayo. Asante!
 

Baddy Kaizer

Hii kitu ilipita nikiwa kwenye mafungo..... nimependa sana hiyo ya mwanaume kuwa mmbea; ni tatizo linatutafuna sana huku uraiani... unakuta huna hata habari ya kinachoendelea, anakuja kayayii anaanza na "wewe si nimesikia ndio mbaya wa JF aisee, naskia umelamba hadi faizafoxy".... mkuu cowardice ni mbaya kwani apart from smearing, it helps the farmer, ....
 
Hii thread kufufuliwa jua kuna ujumbe kwa mtu maalum
Halafu mbona Anti yangu kama katoa hadi avatar? :confused2:
 

mafungo naona yamechukua muda buddy....sasa bas, habari ndio hiyo....... hapo underline...ndo haswaaa mambo yenyewe...yanaboa si kitoto!
 
ivo? sidhani.....Timing alipoteza timing ya sredi ndo kaiona
Mhhhhh Uncle, kweli vile? kaitoa wapi?
Lazima kapewa link au kaikumbuka
kutokana na mazingira fulani fulani...
 
Mhhhhh Uncle, kweli vile? kaitoa wapi?
Lazima kapewa link au kaikumbuka
kutokana na mazingira fulani fulani...

Dear Mwali,

Atakuwa kasearch labda....huwezi jua alikuwa anatafuta nini..unajua JF kabla hujapost kitu, inashauriwa uchungulia ili tusije kupost thread kumbe ishapostiwa zamani..pengine amekuwa na the same experience..what do you think my niece?
 
mafungo naona yamechukua muda buddy....sasa bas, habari ndio hiyo....... hapo underline...ndo haswaaa mambo yenyewe...yanaboa si kitoto!

all i can say is SHKAMOO MWANANGU!!!
 
Usijali......hata simu nitakupigia! Btw, mzima wewe?

Mi mzima kabisa, leo nilikua thread ya MJ1, I really liked it. Imekua ni siku nyingi toka ni-enjoy thread kama nilivo enjoy ile... very insightful my dear, very insightful...:A S 41:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…