Ukimtoa Askofu Gwajima ni Mbunge gani mwingine wa CCM anayeweza kujaza Watu kwenye Mikutano yake?

Ukimtoa Askofu Gwajima ni Mbunge gani mwingine wa CCM anayeweza kujaza Watu kwenye Mikutano yake?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimehudhuria mara tatu Mikutano ya mbunge wetu wa Kawe Askofu Gwajima kiukweli mahudhurio huwa ni makubwa sana.

Je, ni wabunge wote wa CCM huko majimboni hupata mahudhurio mazuri kama ya Gwajima?

Kwa mfano Iringa mjini sijawahi kusikia mbunge kaitisha mkutano.
 
Propaganda zako mfu haziwezi kufuta ukweli kuwa wabunge wa CCM ni mandondocha.



 
Nimehudhuria mara tatu Mikutano ya mbunge wetu wa Kawe Askofu Gwajima kiukweli mahudhurio huwa ni makubwa sana.

Je, ni wabunge wote wa CCM huko majimboni hupata mahudhurio mazuri kama ya Gwajima?

Kwa mfano Iringa mjini sijawahi kusikia mbunge kaitisha mkutano.
Ulihudhuria kama nani?
 
Nkasi (kwa bwana Kessy zamani) na Mtwara vijijini (kwa Hawa ghasia zamani)
Ok Hawa waliitambua Serikali iliyopo madarakani wenyewe wakati chama Chao hakikutambua mpaka Leo hii..nashangaa wanaangaishana na kina Ndee wa nini wakati Serikali na bunge lake hawalitambui.. wale sio wabunge wa chadema baada ya kufutwa kupitia baraza lao
 
Ok Hawa waliitambua Serikali iliyopo madarakani wenyewe wakati chama Chao hakikutambua mpaka Leo hii..nashangaa wanaangaishana na kina Ndee wa nini wakati Serikali na bunge lake hawalitambui.. wale sio wabunge wa chadema baada ya kufutwa kupitia baraza lao
Mtwara vijijini ni mbunge wa CUF Siyo Chadema
 
Nimehudhuria mara tatu Mikutano ya mbunge wetu wa Kawe Askofu Gwajima kiukweli mahudhurio huwa ni makubwa sana.

Je, ni wabunge wote wa CCM huko majimboni hupata mahudhurio mazuri kama ya Gwajima?

Kwa mfano Iringa mjini sijawahi kusikia mbunge kaitisha mkutano.
Usilolijua wale unaowaona sio wapiga kura waje bali waumini wa kanisa lake,wengine hutoka mbagala,gongolamboto nk kuja kumsikiliza
 
Back
Top Bottom