Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Umesahau cazee halafu kukubaliwa mpk yeye apitishe 😂😂😂Hahahah yule influencer huwaga sii mrembo kabisa😂! Cheerleader huwa ni fugly au mediocre kuliko wenzie
Yeye ndo final say wa group
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau cazee halafu kukubaliwa mpk yeye apitishe 😂😂😂Hahahah yule influencer huwaga sii mrembo kabisa😂! Cheerleader huwa ni fugly au mediocre kuliko wenzie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Huwa ni kumjaza hela tu ili mambo yasiwe mengiUmesahau cazee halafu kukubaliwa mpk yeye apitishe 😂😂😂
Yeye ndo final say wa group
😂😂😂 umetisha, hapo kwenye pesa hachomoi atatumia nguvu yake y’a influence mpk mkeka utiki.!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Huwa ni kumjaza hela tu ili mambo yasiwe mengi
Hela ndio jibu la vipengele vyote😂😂😂 umetisha, hapo kwenye pesa hachomoi atatumia nguvu yake y’a influence mpk mkeka utiki.!!
😂😂😂 eti kikoba, wanawake sisi jau sana.!!Maisha ya kikoba sijawahi kuyaishi sababu naamini urafiki wa wanawake umekaa kinafiki sana
Alooo 😂😂😂Hela ndio jibu la vipengele vyote
Ndiooo .....lazima ujadiliwe na kupitishwa na kamati.Sishangai kwanini ukiachana na mwanamke, wenzake wote hawataki kukusikia. Mahusiano ya wanawake wengi ni suala la kikundi kama vikoba. Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae?”…
Sasa kauli nitayoisema next ni ita-make sense ukiliwaza vizuri, “Ni rahisi rafiki wa mwanamke kutoka na mwanaume wa rafiki yao ila ngumu kwa rafiki wa mwanaume kutoka na mwanamke wa mshkaji wao. Mwanaume anamchagua mwanamke wake ila wanawake wanasaidiana kuchagua.
Mimi ukuwadi na kuwashawishi wajiweke, hapo nishatajiwa dau na muwekezaji km atampata shosti yanguKwenye kikundi chetu Mimi ndio nilikuwa kiongozi wa kukandia mashemeji🤣
Paaah unageuka Doctor Love with 10 years experienceMimi ukuwadi na kuwashawishi wajiweke, hapo nishatajiwa dau na muwekezaji km atampata shosti yangu
Mimi nikiwa sijamuelewa wallah atajuta hata km Hana kasoro nitaitafuta na nitaipata na lazima akataliwe na kura za hapana 😂😂😂Ndiooo .....lazima ujadiliwe na kupitishwa na kamati.
Lazima tutoe comment "jamani mbona shemeji mwenyewe mfupi mno ana kitambi hayuko smart" nae anajitetea jamani ndo ananiweka mjini huyu kamati tunakupitisha "basi sawa"
Ukiongea nae kwenye simu anatupa na sisi tukusalimie kisha tunakuuliza shem umempa nini rafiki yetu anakupenda hadi sio poa kabadilika hata kutoka na sisi hataki anataka kuwa na wewe tu muda wote shem darling. Unajichekeeeesha unatuma na ya kutolea mashemeji zako tuinjoi.
Huwezi amini ss hivi nimekuwa mshauri wa mahusiano bila kutarajia 😂😂😂Paaah unageuka Doctor Love with 10 years experience
Kwa umri nilio nao nafikiri 98% ya ujanja ujanja wa jinsia pinzani naufahamu. Hizo 2% ni kwa wachache ambao wanaweza kuni outsmartAlooo 😂😂😂
Cazee nawe umezidi uhuni lol!
Hivi kuna kitu usichokijua??
Tena hiyo ndo inaongoza kwa sasa😂😂😂 eti kikoba, wanawake sisi jau sana.!!
Anaweza kumponda mpenzi wako halafu pembeni anamuwinda tafrani tupu.!!
Muwe makinini hizi ni nyakati za mwisho😂Tena hiyo ndo inaongoza kwa sasa
😂Tunapitia mengi sana kwenye mabunge yenu tukufu.Ndiooo .....lazima ujadiliwe na kupitishwa na kamati.
Lazima tutoe comment "jamani mbona shemeji mwenyewe mfupi mno ana kitambi hayuko smart" nae anajitetea jamani ndo ananiweka mjini huyu kamati tunakupitisha "basi sawa"
Ukiongea nae kwenye simu anatupa na sisi tukusalimie kisha tunakuuliza shem umempa nini rafiki yetu anakupenda hadi sio poa kabadilika hata kutoka na sisi hataki anataka kuwa na wewe tu muda wote shem darling. Unajichekeeeesha unatuma na ya kutolea mashemeji zako tuinjoi.
Unakuta unamaindi zile huba anazopewa mjumbe mwenzio ila namna ya kujiingiza ni kumsagia kunguni ili jina likatwe kisha ukajiweke 😂 na hapo ndipo bunge linavunjwaga rasmi ukishastukiwa.😂😂😂 eti kikoba, wanawake sisi jau sana.!!
Anaweza kumponda mpenzi wako halafu pembeni anamuwinda tafrani tupu.!!
😂😂😂Kwa umri nilio nao nafikiri 98% ya ujanja ujanja wa jinsia pinzani naufahamu. Hizo 2% ni kwa wachache ambao wanaweza kuni outsmart