Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,252 Aug 4, 2018 #1 *Ukimtongoza mwanamke akakwambia ngoja nikafikilie ujue anaenda kugombana na mpnz wake waachane akukubalie wewe🤭🤭🤭🤭🤭 ukiona kmy ujue bado wanagombana na mpnz wake usikate tamaa brother* 🤣[emoji1550][emoji12][emoji12][emoji12]
*Ukimtongoza mwanamke akakwambia ngoja nikafikilie ujue anaenda kugombana na mpnz wake waachane akukubalie wewe🤭🤭🤭🤭🤭 ukiona kmy ujue bado wanagombana na mpnz wake usikate tamaa brother* 🤣[emoji1550][emoji12][emoji12][emoji12]
ruralofficer JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 2,494 Reaction score 3,630 Aug 4, 2018 #2 Quickly reply
Reuben 92 Member Joined Jun 30, 2018 Posts 60 Reaction score 54 Aug 4, 2018 #3 Hahahaha sure kuna dem nimemtongoza akasema hanitaki cha kushangaza ananitumia SMS Mara anaumwa nahuku nimesha mpotezea
Hahahaha sure kuna dem nimemtongoza akasema hanitaki cha kushangaza ananitumia SMS Mara anaumwa nahuku nimesha mpotezea
ledada JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 16,993 Reaction score 65,237 Aug 4, 2018 #4 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Aug 4, 2018 #5 demu akikwambia nakufikiria we andaa siku ya kula mzigo lbl uwe na nyota ya kunguni ahirishe kukufikiria
demu akikwambia nakufikiria we andaa siku ya kula mzigo lbl uwe na nyota ya kunguni ahirishe kukufikiria