Ukimtumia mtu mnayeheshimiana text meseji isiyofaa kimakosa unafanyaje?

Ukimtumia mtu mnayeheshimiana text meseji isiyofaa kimakosa unafanyaje?

Tafuta mshikaji wako mwambie ampigie simu amwambie alikuwa anachezea simu yako bahati mbaya ametuma hiyo meseji kimakosa.
 
Kuna njia 2, mtumie msg nyingine kumtaka radhi kuwa haikuwa msg yake.

Au fululiza kutuma msg nyingine za ajabu halafu baada ya muda mtumie msg kwa namba nyingine kuwa umepoteza simu hivyo apuuze msg zozote toka namba yako mpaka utakapoirejesha mikononi mwako.
Hiyo msg ifanye kama vile umetuma kwa watu wengi ya kuwajulisha kuwa umepoteza simu.
 
Acha uwoga acha ufala wewe ni wa kiume, piga simu au tuma ujumbe kuwa umekosea kwani wewe ni mwanadamu hujakamilika kukosea ni kawaida Sana kwa bahati mbaya au makusudi yote ni kukosea, usiwe mwoga kisha una mheshimu
 
Ilishanitokea kwa bro wangu,,,,,enzi niko chuo, nilikuwa nimegombana na manzi wangu,,,sasa ile tunajibizana via txt msg, mara nikaanzisha conversation flan na brother, the same time nachati na dem !

Unfortunately nikatuma sms sio kwa brother, ,,,dah nilipata sana moto ,,, !
Bahati nZURI bro akanijibu acha umalaya dogo ,,simple tu yakaisha kiivo !!!
 
Wakuu msaada maana nishaharibu huku

ni bahati mbaya tu imetokea

Mtakaotaka picha mnipumzishe kwanza
sasa kama umekosea si unamwambia tu, tena ukute yeye ndo ana mambo ya kipuuzi kuliko hata wewe.

mimi ofisini kuna KE naheshimiana nae sana, ana tako laini rojorojo ndo kitu mimi napenda natamani niyashike ila tunaheshimiana sana. kuna siku tuko ofisini wawili amevaa kigauni cha ujiuji nikasema leo lazima nibambie tako laini lile ila sasa ndo ivo tunaheshimiana sana.

Bas bana ile nimekaa najiuliza ntaanzaje akapita karibu nilipokaa nikamwambia waoo akasogea nikamkumbatia huku nimekaa yeye kasimama, sikusimama ili mikono yangu iwe chinichini kumbuka lengo langu ni kushika tako laini, nikiwa nimemkumbatia nikaanza kushusha mikono chini ya kiuno ila nikaona kufanya hivyo bila taarifa hatapenda bas ikabidi nimwambie huku nikiwa bado nimemkumbatia

Mimi: Samahani naomba nikushike kidogo
Yeye: wapi?
Mimi: sikujibu wapi, taratibu kwa nidhamu ya hali ya juu nikashusha mikono nikashika tako laini lile halafu nikaliminya kidogo(nadhani alijua hicho ndo nilichokuwa nataka)

ilibidi nitumie akili zangu zote nilimbambia na kuminya minya lile tako laini kistaarabu sana na heshima yetu ikabaki vilevile. nawewe unaweza kuwa umetuma upuuzi ila heshima inaweza kubaki vilevile.
 
Kuna njia 2, mtumie msg nyingine kumtaka radhi kuwa haikuwa msg yake.

Au fululiza kutuma msg nyingine za ajabu halafu baada ya muda mtumie msg kwa namba nyingine kuwa umepoteza simu hivyo apuuze msg zozote toka namba yako mpaka utakapoirejesha mikononi mwako.
Hiyo msg ifanye kama vile umetuma kwa watu wengi ya kuwajulisha kuwa umepoteza simu.
Shoda inakuja kama meseji yenyewe ni ya wale vijana wa kula tunda kimasihara,alafu mbele ya huyo aloyemtumia meseji anasomeka kama mtu wa Mungu.

Kujitetea inakuwa mziki sana hapo.
 
Mpotezee tu. Jifanye kama hakuna lililotokea.
 
Pole Sana

Mimi nikiwa nachart na watu ninaoheshimianao hata ikatokea meseji za wanawake huwa sizijibu

Hapo mcheki Kwa kumtumia sms mwambie ulimpa MTU simu yako unfortunately katuma sms kwako. That all.
 
Kuna njia 2, mtumie msg nyingine kumtaka radhi kuwa haikuwa msg yake.

Au fululiza kutuma msg nyingine za ajabu halafu baada ya muda mtumie msg kwa namba nyingine kuwa umepoteza simu hivyo apuuze msg zozote toka namba yako mpaka utakapoirejesha mikononi mwako.
Hiyo msg ifanye kama vile umetuma kwa watu wengi ya kuwajulisha kuwa umepoteza simu.
Daah haya bana

asante
 
Back
Top Bottom