kidonto
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 1,961
- 2,918
Nilishawahi kumtumia message Shemeji yangu aliyemuoa Dada angu Mkubwa.
Message ilikua inaenda kwa mchepuko, ilikua inazungumzia Game ya jana yake ilivyokua ya Viwango, humo ndani hamna tasfida.
Kuja kugundua la haulaaaa. Nimemtumia mtu nayemweshimu sana kanizidi Umri mbali hafu ni Shemeji yangu.
Nikafikilia sekunde 3 nikasema kwanza yeye mwenyewe atakua na michepuko yake. Basi nikamtumia message ingine, nikamwambia samahani, nimekosea nilikua namtumia message mchepuko wangu.
Akanijibu kwa Emoji za kicheko then akasema Usijari.
Message ilikua inaenda kwa mchepuko, ilikua inazungumzia Game ya jana yake ilivyokua ya Viwango, humo ndani hamna tasfida.
Kuja kugundua la haulaaaa. Nimemtumia mtu nayemweshimu sana kanizidi Umri mbali hafu ni Shemeji yangu.
Nikafikilia sekunde 3 nikasema kwanza yeye mwenyewe atakua na michepuko yake. Basi nikamtumia message ingine, nikamwambia samahani, nimekosea nilikua namtumia message mchepuko wangu.
Akanijibu kwa Emoji za kicheko then akasema Usijari.