watu mpo makini sana 😂😂😂Kuna njia 2, mtumie msg nyingine kumtaka radhi kuwa haikuwa msg yake.
Au fululiza kutuma msg nyingine za ajabu halafu baada ya muda mtumie msg kwa namba nyingine kuwa umepoteza simu hivyo apuuze msg zozote toka namba yako mpaka utakapoirejesha mikononi mwako.
Hiyo msg ifanye kama vile umetuma kwa watu wengi ya kuwajulisha kuwa umepoteza simu.
watu wana mbwinu balaawatu mpo makini sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee, tako laini rojorojo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa kama umekosea si unamwambia tu, tena ukute yeye ndo ana mambo ya kipuuzi kuliko hata wewe.
mimi ofisini kuna KE naheshimiana nae sana, ana tako laini rojorojo ndo kitu mimi napenda natamani niyashike ila tunaheshimiana sana. kuna siku tuko ofisini wawili amevaa kigauni cha ujiuji nikasema leo lazima nibambie tako laini lile ila sasa ndo ivo tunaheshimiana sana.
Bas bana ile nimekaa najiuliza ntaanzaje akapita karibu nilipokaa nikamwambia waoo akasogea nikamkumbatia huku nimekaa yeye kasimama, sikusimama ili mikono yangu iwe chinichini kumbuka lengo langu ni kushika tako laini, nikiwa nimemkumbatia nikaanza kushusha mikono chini ya kiuno ila nikaona kufanya hivyo bila taarifa hatapenda bas ikabidi nimwambie huku nikiwa bado nimemkumbatia
Mimi: Samahani naomba nikushike kidogo
Yeye: wapi?
Mimi: sikujibu wapi, taratibu kwa nidhamu ya hali ya juu nikashusha mikono nikashika tako laini lile halafu nikaliminya kidogo(nadhani alijua hicho ndo nilichokuwa nataka)
ilibidi nitumie akili zangu zote nilimbambia na kuminya minya lile tako laini kistaarabu sana na heshima yetu ikabaki vilevile. nawewe unaweza kuwa umetuma upuuzi ila heshima inaweza kubaki vilevile.
Duuu, hahaha.Siku moja asubuhi naingia kazini boss alikuwa karudi kutoka kwenye vikao huko inaonekana alinang'wa sana kwa mambo yanayoendelea kituoni .
Hivyo saa kumi na mbili katuma ujumbe kila mtu awahi kabla ya muda wa kawaida kwa ambao hawakuwa zamu maana ana kikao cha dharura basi kwenye hiko kikao alitusema sana .
Basi kuna kademu kalikuwa ajira mpya na mimi ndiyo kamenizoea sana hivyo uwa kananiuliza vitu vingi kwa kutumia meseji tukiwa job .
Bosi alivyofura kwenye kikao kakawa hakana amani hivyo kakaanza kunichatisha punde kabla ya kumaliza kikao nikawa nakapa moyo huku namponda boss sana kuwa ni lijinga lijinga .
Asalale kutokana na uwingi wa kazi nikajikuta ile meseji ya alfajiri ya boss ndiyo nimereply na humo nimemsema boss kishenzi .
Nimekaa nataka nitoke walau nipate kifungua kinywa nasema wacha nione haka kademu kamejibuje laaa haula nakuta nilimjibu boss sio yule mrembo
Nikakosa nguvu kwenye miguu na kichwa kikawa kizito sana , ile najikokota nitoke ofisini walau nikapate chochote kitu namuona boss anakuja uelekeo wa ofisi yangu , nikajikuta nguvu zinaniishia mara mbili nikaaa kwenye kiti huku nahemea juu
Boss kufika nilipo kasema nina uhitaji na wewe ofisini kwangu , kiukweli sikwenda huko nilipotoka kwenda kunywa chai sikurudi kabisa .
Jioni nikatimkia mjini nikaenda zangu bar nikanywa bia zangu happ boss ashapiga simu mara kupiga , mpka kaamua amtumie yule ajira mpya kunipigia ila hakuna simu ya kima yeyote napokea .
Nilipolewa ndiyo nikamvutia waya akapokea ila akawa anauliza mbona nimekimbia nikawa sina cha kusema ila nikaamua kuomba msamaha na kumwambia japo nimemtusi sana ila mengi ni ukweli ila sisi ni wanaume anisamehe bana na pia nilifanya hivyo maana kale kadada nakataka hivyo anivumilie na kunisamehe .
Ndiyo ilikuwa mwanzo wa vita mimi na the boss mpaka wa leo
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
daahMbona unatukatisha weka picha bhana
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwamba, pitia K Vant 4 hapo kwa Mangi, nitakuja kulipa. Umeupiga mwingi sana mkuuKuna njia 2, mtumie msg nyingine kumtaka radhi kuwa haikuwa msg yake.
Au fululiza kutuma msg nyingine za ajabu halafu baada ya muda mtumie msg kwa namba nyingine kuwa umepoteza simu hivyo apuuze msg zozote toka namba yako mpaka utakapoirejesha mikononi mwako.
Hiyo msg ifanye kama vile umetuma kwa watu wengi ya kuwajulisha kuwa umepoteza simu.
Wewe wasema, Je kama amemtumia baba yake sms ya ajabu mfano "kalia mboo" badala ya "Kalia ndoo"Acha uwoga acha ufala wewe ni wa kiume, piga simu au tuma ujumbe kuwa umekosea kwani wewe ni mwanadamu hujakamilika kukosea ni kawaida Sana kwa bahati mbaya au makusudi yote ni kukosea, usiwe mwoga kisha una mheshimu