Ukimuomba au ukimdai hela mtu wa Dar es Salaam utaambulia sound

Ukimuomba au ukimdai hela mtu wa Dar es Salaam utaambulia sound

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hakwambii kama hana au atakutafutia kesho anaanza kukupanga Mara ooh subiri kidogo kipengele hapa usafiri Mara blah blah kibao yaani lazima akuingize viswahili acheni ujanja ujanja watu wa dar sio unamuaminisha mtu asubiri ukipigiwa simu inazingua acheni kudanganya danganya wakuu.
 
Wapumzisheni wana dasalama.
Mambo ni mengi sana, uchague bata au kumtumia mtu hela.
Huku utasikia "huyu demu wake nani "
Kule "napenda shiisha"
Mara hujakaa sawa unasikia "bia tamu"
Kabla haijaisha unasikia weita leta kama tulivyo.
Ukitaka kupuuzia unasikia "kama umemchoka tuachie sisi"
 
Back
Top Bottom