Ukimuomba namba demu na akakwambia 'andika/nipe yako', usijisumbue kuitoa; huhitajiki anakunyali tu!!

Ukimuomba namba demu na akakwambia 'andika/nipe yako', usijisumbue kuitoa; huhitajiki anakunyali tu!!

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Haijawahi kutokea niliyempa akanitafuta! Nimewahi kuzitoa zaidi ya mara 15.

Jana nikabahatisha tena kwenye daladala, akanipa hadithi ileile, 'nipe yako' huku akinipa simu yake niandike. Nikaiandika na kumrudishua ili nione atafanyaje. Akawa kama anaisave hv, nikapiga jicho la kali la siri la pembeni kwenye screen yake nikaona amesave 'Fala 11'. Nikakaa kimya na kusogea pembeni huko upande wa kiti changu. Sikumuongelesha tena mpaka tunafika.......hajanitafuta mpaka leo na, kutokana na uzoefu, najua ndo basi tena.

Ila nimefarijika kidogo kuona kumbe kuna 'mafala 10' walionitangulia.

Usitoe namba, kuna ujinga mwingi utaumbuka km mimi!!
 
[emoji23][emoji23] tena huwa tunafuta ukisogeza mguu tu

Asa nikutafute nikwambiajee [emoji1787][emoji1787] et Mimi yule dada uliandika namba yako kwenye simu yangu[emoji16][emoji16]

Haiwezekani labda kuwe na shida unaweza nisaidiaa
 
[emoji23][emoji23] tena huwa tunafuta ukisogeza mguu tu

Asa nikutafute nikwambiajee [emoji1787][emoji1787] et Mimi yule dada uliandika namba yako kwenye simu yangu[emoji16][emoji16]

Haiwezekani labda kuwe na shida unaweza nisaidiaa
Dah, kumbee!! Basi hapo mwanzo nilikuwa nazitoa kwa mbwembwe kweli!

Wakatili sana nyie!
 
Haijawahi kutokea niliyempa akanitafuta! Nimewahi kuzitoa zaidi ya mara 15.

Jana nikabahatisha tena kwenye daladala, akanipa hadithi ileile, 'nipe yako' huku akinipa simu yake niandike. Nikaiandika na kumrudishua ili nione atafanyaje. Akawa kama anaisave hv, nikapiga jicho la kali la siri la pembeni kwenye screen yake nikaona amesave 'Fala 11'. Nikakaa kimya na kusogea pembeni huko upande wa kiti changu. Sikumuongelesha tena mpaka tunafika.......hajanitafuta mpaka leo na, kutokana na uzoefu, najua ndo basi tena.

Ila nimefarijika kidogo kuona kumbe kuna 'mafala 10' walionitangulia.

Usitoe namba, kuna ujinga mwingi utaumbuka km mimi!!
hahhahaha umenifurahisha ila mm dem akinambiag hv huwaga simpi na kama nkimpa ani beep apo apo
 
wa kwangu alisema nashuka kituo fulani nikikaribia nikumbushe nikupe namba,, kituo kimoja kabla nikamkumbusha na akanipa.Sikuwahi kupata demu kwenye daladala na sikuwaza kama mke wangu ningekutana naye kwenye daladala. Lakini ndo mke wangu wa ndoa sasa hivi na tunapendana sana.
 
Haijawahi kutokea niliyempa akanitafuta! Nimewahi kuzitoa zaidi ya mara 15.

Jana nikabahatisha tena kwenye daladala, akanipa hadithi ileile, 'nipe yako' huku akinipa simu yake niandike. Nikaiandika na kumrudishua ili nione atafanyaje. Akawa kama anaisave hv, nikapiga jicho la kali la siri la pembeni kwenye screen yake nikaona amesave 'Fala 11'. Nikakaa kimya na kusogea pembeni huko upande wa kiti changu. Sikumuongelesha tena mpaka tunafika.......hajanitafuta mpaka leo na, kutokana na uzoefu, najua ndo basi tena.

Ila nimefarijika kidogo kuona kumbe kuna 'mafala 10' walionitangulia.

Usitoe namba, kuna ujinga mwingi utaumbuka km mimi!!
Kuna msela flani ivi yeye ni mtu wa totozi kaamua kutengeneza business cards kabsa , ni ngumu kuchomolewa na wadada asilimia kubwa wanamtafuta nafkir ana cheza smart sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom