Ukimuomba namba demu na akakwambia 'andika/nipe yako', usijisumbue kuitoa; huhitajiki anakunyali tu!!

Akikupa namba sio shida kuna washenzi wanakwambia 'nipe yako' alafu ya kwake hataki kukupa yaan hapo sahau kutafutwa
 
Siku akifulia ataanza kutafuta msaada kwa mafala wote, akija ukupa anakusave dady
 
We mzembe Kama umempa yako mwambie akutumie text hapo uhakikishe
 
Mimi dereva wa boda boda hapa Arusha, nikiwapa namba yangu huwa wananitafuta wakihitaji huduma ya usafiri😃
 
Mbona wanapigaga utasikia utaona inaishia na 78 mwishoni 😂🤣
 
Sasa kama ana mpenzi wake akutafute wewe ili iweje.

Wakati wewe mwenyewe ukiwa na mpenzi wako hutaki hata apigane kikumbo na mwanaume.
 
Inategemea unaandika sehem gn,,

Hivi kweli uandike Namba yako kwenye $100 usitafutwe ?
 
Kijana,

Unapata wap ujasiri wa kuomba namba ikiwa wote mpo kwenye usafir wa kimaskin?

Ndgu yetu jitafakar!
[emoji38][emoji38][emoji38]Kati ya siku ambazo umeongea, leo umezungumza jambo mkuu. Pitia K Vant kwa Mangi nitakuja nalipa
 
Some problems are easily avoided by staying far from women. Decency, prudence and caution demands that I go on a date with a woman I've been acquainted with, at least two weeks.

Punguza shobo kwa demu usiyemjua.
Mkuu umezungumza ukweli mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…