Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 984
- 926
Nikukumbushe tu, MC Algiers na Al Hilal ndio walikuwa vibonde wa kundi.
Unaujua mpira kweli? Timu yako ingeifunga timu gani kwenye lile kundi?
Utakuwa unaumia sana utopolo, peleka basi hiyo yanga yako. Kwani timu zilizokutoa nashindanoni zina ubora gani wa maana hasa?Ningependa mbumbumbu wanaoicheka Yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali klabu bingwa wanitajie timu ambazo zingeweza kuipa Yanga hii changamoto yoyote Ile kwenye kombe ilo walilopo la washindi wa 3 na 4!
Nimemuondoa Zamalek kwakuwa ndio timu pekee ambayo ingeweza kupambana na Yanga kupimana ubavu but timu zote zilizobaki kwenye icho kikombe cha Asante Mosepe zilizoingia hatua ya makundi akuna ata Moja ingeweza kusimama mbele ya yanga hii mnayoibeza!
Hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kucheza nusu fainali ya kombe la shirikisho iyo muiweke vichwani mwenu!
Nimewapa iyo home work kwakuwa timu zote nimeziona zinazocheza shirikisho ili kuingia robo fainali mnitajie ni timu Gani ingemsimamisha Yanga!
Ndio maana nawaambia ubora wa Klabu Bingwa na shirikisho ni mbingu na ardhi ni sawa na shabiki wa timu insyoshiriki daraja la nne kujilinganisha na timu inayocheza ligi kuu inakuwa ni kufurahisha genge tu ili siku ziende!
Na wengine wakishashiba viporo vya magimbi wakavimbiwa akili uwa zinahama wanaanza kuleta reference za ajabu ajabu,,
Mwenzako anakunja bilioni 1.9 kwa kuishia makundi nafasi ya tatu wewe iyo unaipata endapo tu utafika nusu fainali ya Asante Mosepe,,na bado unavua mpaka boksa eti umeongoza kundi la wagonjwa ni maajabu ya Musa!
uliyemsajili chama na mwenda umefika wapiUnakwepa nini,,viongozi wako na kocha wako ndio walifanya usajili kwaiyo usajili wako wa ovyo usitake kutake advantage kigezo cha. Ubora wa wachezaji wako kwamba ndio walikufanya uishie robo robo ata shirikisho?
Alikamwe kwenye ubora wako hahahahahaNingependa mbumbumbu wanaoicheka Yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali klabu bingwa wanitajie timu ambazo zingeweza kuipa Yanga hii changamoto yoyote Ile kwenye kombe ilo walilopo la washindi wa 3 na 4!
Nimemuondoa Zamalek kwakuwa ndio timu pekee ambayo ingeweza kupambana na Yanga kupimana ubavu but timu zote zilizobaki kwenye icho kikombe cha Asante Mosepe zilizoingia hatua ya makundi akuna ata Moja ingeweza kusimama mbele ya yanga hii mnayoibeza!
Hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kucheza nusu fainali ya kombe la shirikisho iyo muiweke vichwani mwenu!
Nimewapa iyo home work kwakuwa timu zote nimeziona zinazocheza shirikisho ili kuingia robo fainali mnitajie ni timu Gani ingemsimamisha Yanga!
Ndio maana nawaambia ubora wa Klabu Bingwa na shirikisho ni mbingu na ardhi ni sawa na shabiki wa timu insyoshiriki daraja la nne kujilinganisha na timu inayocheza ligi kuu inakuwa ni kufurahisha genge tu ili siku ziende!
Na wengine wakishashiba viporo vya magimbi wakavimbiwa akili uwa zinahama wanaanza kuleta reference za ajabu ajabu,,
Mwenzako anakunja bilioni 1.9 kwa kuishia makundi nafasi ya tatu wewe iyo unaipata endapo tu utafika nusu fainali ya Asante Mosepe,,na bado unavua mpaka boksa eti umeongoza kundi la wagonjwa ni maajabu ya Musa!
Kwa hiyo timu hizo walikuwa hawafanyi mazoezi huko kwao kisa Corona?Mliwai kuongoza kipindi watu wako lockdown ya corona unajisifu,,njoo uongoze na sasa uku klabu bingwa kama ubavu unao,,unadhani uku Kuna wakina majimaji wa Algeria!
Azam alicheza klabu bingwa yeye ni bingwa wa nini?Mnajitoa sana ufahamu nyie watu, uwezi kuelewa maana yangu kama auna D-2,,ni kwamba usilinganishe ubora wa timu unazocheza nazo uko na ubora wa timu zilizoko klabu bingwa,,narudia Tena shirikisho ni shirikisho tu na ndio maana wanashindanishwa washindwa kwa washindwa upo hapo!
Kwahiyo mmetamani mngeshiriki Shirikisho. Acheni uduanziNingependa mbumbumbu wanaoicheka Yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali klabu bingwa wanitajie timu ambazo zingeweza kuipa Yanga hii changamoto yoyote Ile kwenye kombe ilo walilopo la washindi wa 3 na 4!
Nimemuondoa Zamalek kwakuwa ndio timu pekee ambayo ingeweza kupambana na Yanga kupimana ubavu but timu zote zilizobaki kwenye icho kikombe cha Asante Mosepe zilizoingia hatua ya makundi akuna ata Moja ingeweza kusimama mbele ya yanga hii mnayoibeza!
Hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kucheza nusu fainali ya kombe la shirikisho iyo muiweke vichwani mwenu!
Nimewapa iyo home work kwakuwa timu zote nimeziona zinazocheza shirikisho ili kuingia robo fainali mnitajie ni timu Gani ingemsimamisha Yanga!
Ndio maana nawaambia ubora wa Klabu Bingwa na shirikisho ni mbingu na ardhi ni sawa na shabiki wa timu insyoshiriki daraja la nne kujilinganisha na timu inayocheza ligi kuu inakuwa ni kufurahisha genge tu ili siku ziende!
Na wengine wakishashiba viporo vya magimbi wakavimbiwa akili uwa zinahama wanaanza kuleta reference za ajabu ajabu,,
Mwenzako anakunja bilioni 1.9 kwa kuishia makundi nafasi ya tatu wewe iyo unaipata endapo tu utafika nusu fainali ya Asante Mosepe,,na bado unavua mpaka boksa eti umeongoza kundi la wagonjwa ni maajabu ya Musa!
Siwapendi watu wapuuzi dizaini hii, kwani unazo akili timamu?Mnajitoa sana ufahamu nyie watu, uwezi kuelewa maana yangu kama auna D-2,,ni kwamba usilinganishe ubora wa timu unazocheza nazo uko na ubora wa timu zilizoko klabu bingwa,,narudia Tena shirikisho ni shirikisho tu na ndio maana wanashindanishwa washindwa kwa washindwa upo hapo!
Yanga ikiwa imepata changamoto ya kuzabuliwa nyumbani na Al hilal jua huko shirikisho hata mechi za awali asingetoboa!Ningependa mbumbumbu wanaoicheka Yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali klabu bingwa wanitajie timu ambazo zingeweza kuipa Yanga hii changamoto yoyote Ile kwenye kombe ilo walilopo la washindi wa 3 na 4!
Nimemuondoa Zamalek kwakuwa ndio timu pekee ambayo ingeweza kupambana na Yanga kupimana ubavu but timu zote zilizobaki kwenye icho kikombe cha Asante Mosepe zilizoingia hatua ya makundi akuna ata Moja ingeweza kusimama mbele ya yanga hii mnayoibeza!
Hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kucheza nusu fainali ya kombe la shirikisho iyo muiweke vichwani mwenu!
Nimewapa iyo home work kwakuwa timu zote nimeziona zinazocheza shirikisho ili kuingia robo fainali mnitajie ni timu Gani ingemsimamisha Yanga!
Ndio maana nawaambia ubora wa Klabu Bingwa na shirikisho ni mbingu na ardhi ni sawa na shabiki wa timu insyoshiriki daraja la nne kujilinganisha na timu inayocheza ligi kuu inakuwa ni kufurahisha genge tu ili siku ziende!
Na wengine wakishashiba viporo vya magimbi wakavimbiwa akili uwa zinahama wanaanza kuleta reference za ajabu ajabu,,
Mwenzako anakunja bilioni 1.9 kwa kuishia makundi nafasi ya tatu wewe iyo unaipata endapo tu utafika nusu fainali ya Asante Mosepe,,na bado unavua mpaka boksa eti umeongoza kundi la wagonjwa ni maajabu ya Musa!
Wana Yanga wenzangu ningewaomba tu tuache kujifariji kwa vitu visivyo na maana. Yanga alikuwa Klabu bingwa na yuko shirikisho kuna uhusiano gani. Sisi tumeshindwa kwenye saizi yetu tukae kimya, tuwaache waendelee badala ya kujipa moyo tu. Tujipange kwa msimu ujao. Hata hivyo Simba tunawazidi nini, sababu hata NBCL wanaongoza.Ningependa mbumbumbu wanaoicheka Yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali klabu bingwa wanitajie timu ambazo zingeweza kuipa Yanga hii changamoto yoyote Ile kwenye kombe ilo walilopo la washindi wa 3 na 4!
Nimemuondoa Zamalek kwakuwa ndio timu pekee ambayo ingeweza kupambana na Yanga kupimana ubavu but timu zote zilizobaki kwenye icho kikombe cha Asante Mosepe zilizoingia hatua ya makundi akuna ata Moja ingeweza kusimama mbele ya yanga hii mnayoibeza!
Hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kucheza nusu fainali ya kombe la shirikisho iyo muiweke vichwani mwenu!
Nimewapa iyo home work kwakuwa timu zote nimeziona zinazocheza shirikisho ili kuingia robo fainali mnitajie ni timu Gani ingemsimamisha Yanga!
Ndio maana nawaambia ubora wa Klabu Bingwa na shirikisho ni mbingu na ardhi ni sawa na shabiki wa timu insyoshiriki daraja la nne kujilinganisha na timu inayocheza ligi kuu inakuwa ni kufurahisha genge tu ili siku ziende!
Na wengine wakishashiba viporo vya magimbi wakavimbiwa akili uwa zinahama wanaanza kuleta reference za ajabu ajabu,,
Mwenzako anakunja bilioni 1.9 kwa kuishia makundi nafasi ya tatu wewe iyo unaipata endapo tu utafika nusu fainali ya Asante Mosepe,,na bado unavua mpaka boksa eti umeongoza kundi la wagonjwa ni maajabu ya Musa!
Baada ya kuwa busy azam federation nyie mko busy na yasiyowahusuNingependa mbumbumbu wanaoicheka Yanga kushindwa kufuzu hatua ya robo fainali klabu bingwa wanitajie timu ambazo zingeweza kuipa Yanga hii changamoto yoyote Ile kwenye kombe ilo walilopo la washindi wa 3 na 4!
Nimemuondoa Zamalek kwakuwa ndio timu pekee ambayo ingeweza kupambana na Yanga kupimana ubavu but timu zote zilizobaki kwenye icho kikombe cha Asante Mosepe zilizoingia hatua ya makundi akuna ata Moja ingeweza kusimama mbele ya yanga hii mnayoibeza!
Hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na kucheza nusu fainali ya kombe la shirikisho iyo muiweke vichwani mwenu!
Nimewapa iyo home work kwakuwa timu zote nimeziona zinazocheza shirikisho ili kuingia robo fainali mnitajie ni timu Gani ingemsimamisha Yanga!
Ndio maana nawaambia ubora wa Klabu Bingwa na shirikisho ni mbingu na ardhi ni sawa na shabiki wa timu insyoshiriki daraja la nne kujilinganisha na timu inayocheza ligi kuu inakuwa ni kufurahisha genge tu ili siku ziende!
Na wengine wakishashiba viporo vya magimbi wakavimbiwa akili uwa zinahama wanaanza kuleta reference za ajabu ajabu,,
Mwenzako anakunja bilioni 1.9 kwa kuishia makundi nafasi ya tatu wewe iyo unaipata endapo tu utafika nusu fainali ya Asante Mosepe,,na bado unavua mpaka boksa eti umeongoza kundi la wagonjwa ni maajabu ya Musa!