Ukimwangalia kwa Mbali hivi unaweza sema ni Mnafiki...

Ukimwangalia kwa Mbali hivi unaweza sema ni Mnafiki...

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Mtanzania ni mtu ambaye kwa kweli ni ngumu sana kujua anataka nini. Watanzania wengi kama si wote. Ashamum si matusi. Wamejawa na Unafiq wa SGR. Kama ni barabara basi kiwango cha Lami.

Tena Lami ya miaka yetu ile inatengenezwa na Kajima au Konoike.

Mtanzania unaweza ukamwona kwa mbali hivi...ukamwona ni kama mnafiq flani hivi msogelee kwa karibu. Ndipo unagundua ni kweli ni mnafiq.

Wengi hawajulikani wanataka nini na wanaamini nini. Kweli yake ya jana si kweli ya leo. Yaani wapo wapo tu. Hawana msimamo. Wanasiasa, waandishi wa habari, viongozi, Raia yaani... Wanakwambia maisha bila unafiq hayaendi.

IMG-20230216-WA0011.jpg
IMG-20230216-WA0012.jpg


 
Anayeamini maneno ya hawa wakosa akili ndio KAKOSEA. Wenye akili ni wawili tu.Wakisema nje kuna jua linawaka toka nje uhakikishe.
 
Ally kamwe yupo kazini je wewe mkosoaji mpo wapi?
Ha ha ha.... Nimeona nisitaje maana kuna mambo si vizuri watoto kufahamu jambo kama hili. Ila....ila elewa tu ukimuuliza yeye atakwambia napiga kazi sana sana hadi moto unawaka...ndo nipo hapo sasa.😂
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tatizo kubwa la yanga ni kuamini kwamba kuifunga simba ndio inakuwa bora kimataifa na ndio kipimo cha ukubwa.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Mtanzania ni mtu ambaye kwa kweli ni ngumu sana kujua anataka nini. Watanzania wengi kama si wote. Ashamum si matusi. Wamejawa na Unafiq wa SGR. Kama ni barabara basi kiwango cha Lami.

Tena Lami ya miaka yetu ile inatengenezwa na Kajima au Konoike.

Mtanzania unaweza ukamwona kwa mbali hivi...ukamwona ni kama mnafiq flani hivi msogelee kwa karibu. Ndipo unagundua ni kweli ni mnafiq.

Wengi hawajulikani wanataka nini na wanaamini nini. Kweli yake ya jana si kweli ya leo. Yaani wapo wapo tu. Hawana msimamo. Wanasiasa, waandishi wa habari, viongozi, Raia yaani... Wanakwambia maisha bila unafiq hayaendi.

View attachment 2519526View attachment 2519527

View attachment 2519524
Haka kakikundi ni kakuonea tu huruma.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Back
Top Bottom