Ukimwi hauonekani kwa macho, namshukuru MUNGU wangu

Dooooohhhh Hakika Shukuru lkn wenda usingeupata km haikuandikwa uupate .


Sema siku izi, dawa nikutembea na vipimio tu !!.
 
Kuna sehem nimecheza, yani nikipima nikakuta sina aisee Sigegedi tena.
Aosee na mm pia... Tangia tarehe 3/12 nina hofu mpaka leoo.... Kucheza peku ni htari aisee..... Hapa naji observe nikiona changes mwilini sijui nitafanyajee
 
Hakika mmenifueahisha sana Leo,mbona mwaogopa hivyo ukimwi ,wakati kuna cancer, kisukari,na mengine meengi watu hawaogopi
Natena siku hizi cancer ni kila rika,na wanaondoka haraka sana,wakianzaga hizo treatment zao,lakini cha kushangaza wa hiv wanakula songa tu!!!lakini yote haya tumwachie Mungu muumba!!!
 
daa haya mambo ya kupima pima tena wengine si washauri wala hawana elimu iyo. mtakuja ua watu gesti kwa pressure

vipimo vyenyewe vina wenge wakati mwingine vinakwambia umewaka wakati uko vzr.

ntapima siku nimezidiwa hoi kabisa, maana siku izi watu wanazimika wazima wazima na hawana ngoma
 
Unacho???

Njoo basi mkulima gesti house nakusubiri[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kitakosekanaje mfukoni wakat ndo Mara yakwanza tunamit?.

Weeee kuuza gemu kizembe nihatar kwa afya!!!.

Ningoje hapo hapo ,naja ,,tupimishane ndo tucheze mechi ,umechukua room namba ngapi?.,,
 
Kitakosekanaje mfukoni wakat ndo Mara yakwanza tunamit?.

Weeee kuuza gemu kizembe nihatar kwa afya!!!.

Ningoje hapo hapo ,naja ,,tupimishane ndo tucheze mechi ,umechukua room namba ngapi?.,,
Aaah wapi mi sijajipanga kupima leo umenishtukiza subiri nikajifikirie
 
Hongera zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…