jambo JF
tuko pamoja..........leo naendelea na utaratibu ule ule wa kukumbushana juu ya suala hili la Ukimwi na virusi vya ukimwi...
leo tuangalie hili suala limekaaje maofisinimwetu.kama mnavyofahamu mimi pia ni muathirika ninaeendelea n akazi zangu kama kawaida...najitambua na wala hainipi shida.
ofisi nyingi haziajiri watu walioathirika once wanapowaita kwenye ajira na kuwapima afya zao.........hili suala kwa nini lipo hivi?
sioni kama is healthy kwa ofisi kunyanyapaa watu hawa while naweza kuajiriwa na baada ya sikU kadhaa WAkawa positive.............najua hap akuna maHR na ma Public relations oficers..........naomba mniambie hadi sasa nyie bado mna ile styl ya kunyoosheavidole?.........bado mnakua hamuajiri wenye VVU?..come on wake up!!!!..
mimi i have been positive for some years and working confidently and healthier!!!! sometimes i do even forget am positive..why should I?i talk;laugh and am expecting my next job interview i will tell you HR with a smile that am Positive!!! how will you take that once you realize ave scored the highest and i deserve the post??tafakari.......stop the stigma..lets fight together...
am still looking foward for a strong;confident and responsible woman to take off for a lovely marriage life....whether ur positive or negative.......am not thinking to infect by any means a negative one...stay blessed nice weekend
tuko pamoja..........leo naendelea na utaratibu ule ule wa kukumbushana juu ya suala hili la Ukimwi na virusi vya ukimwi...
leo tuangalie hili suala limekaaje maofisinimwetu.kama mnavyofahamu mimi pia ni muathirika ninaeendelea n akazi zangu kama kawaida...najitambua na wala hainipi shida.
ofisi nyingi haziajiri watu walioathirika once wanapowaita kwenye ajira na kuwapima afya zao.........hili suala kwa nini lipo hivi?
sioni kama is healthy kwa ofisi kunyanyapaa watu hawa while naweza kuajiriwa na baada ya sikU kadhaa WAkawa positive.............najua hap akuna maHR na ma Public relations oficers..........naomba mniambie hadi sasa nyie bado mna ile styl ya kunyoosheavidole?.........bado mnakua hamuajiri wenye VVU?..come on wake up!!!!..
mimi i have been positive for some years and working confidently and healthier!!!! sometimes i do even forget am positive..why should I?i talk;laugh and am expecting my next job interview i will tell you HR with a smile that am Positive!!! how will you take that once you realize ave scored the highest and i deserve the post??tafakari.......stop the stigma..lets fight together...
am still looking foward for a strong;confident and responsible woman to take off for a lovely marriage life....whether ur positive or negative.......am not thinking to infect by any means a negative one...stay blessed nice weekend