UKIMWI ni biashara, nchi za dunia ya tatu tunatumika

Kuna mtu alikutwa na huu ugonjwa alivyoenda clinic kupima, alijikubali na hali akaanza dawa cha ajabu anachanganyikiwa !!

mwisho familia yake imemkatisha dozi karudi katika hali ya uzima wanasubiri matokeo maana hawana jinsi!!
 
Sikuombei ulifikie mpenzi wangu! Mungu akuepushe nalo tu. Ila kuwa makini sana[emoji12]
Amina mama. Na mie sitaki nifike maana najua stress ntakayopata kujua kinga imeshuka. Niko makini sana na juzi tu jumapili nimepima japo sio kwa ridhaa yangu
 
Kuna mtu alikutwa na huu ugonjwa alivyoenda clinic kupima, alijikubali na hali akaanza dawa cha ajabu anachanganyikiwa !!

mwisho familia yake imemkatisha dozi karudi katika hali ya uzima wanasubiri matokeo maana hawana jinsi!!
Wanasema ukianza kutumia mwanzoni ARV unaona maluweluwe unakua kama mgonjwa wa akili ila zikishakukubali mwendo mdundo
 
Kuna mtu alikutwa na huu ugonjwa alivyoenda clinic kupima, alijikubali na hali akaanza dawa cha ajabu anachanganyikiwa !!

mwisho familia yake imemkatisha dozi karudi katika hali ya uzima wanasubiri matokeo maana hawana jinsi!!
Wangemueleza daktari wake haya. ARV’s ziko za Amina nyingi na kuna ambazo hazikubakiani na damu yako.
 
Hakuna cha bora shoga vyote hapo vigumu, Mungu atuepushie.
Kitu change kupungua makali kina ubora. Usiombe uambiwe una cancer halafu usiikubali hata miezi sita humalizi. Bora ARV zinakusaidia huku zinakumaliza taratibu hata kama hujajikubali.
 
Amina mama. Na mie sitaki nifike maana najua stress ntakayopata kujua kinga imeshuka. Niko makini sana na juzi tu jumapili nimepima japo sio kwa ridhaa yangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ilikuwaje ukapima pasipo ridhaa yako?[emoji12]
 
Nimepoteza wapendwa wangu wawili kwa Homa ya Ini, yaan ile ukikutwa nayo mwaka haumalizi unajijua kabisa kifo hicho apo... Sad.
Ndo shida. Unaumwa ugonjwa unaojua hakuna dawa ni wewe kujiweka tayari maana siku zako za kufa unaziona kabisa
 
Kuna mtu alikutwa na huu ugonjwa alivyoenda clinic kupima, alijikubali na hali akaanza dawa cha ajabu anachanganyikiwa !!

mwisho familia yake imemkatisha dozi karudi katika hali ya uzima wanasubiri matokeo maana hawana jinsi!!
Bora walivyomkatisha, hapo apigwe mlo kamili pia aanze kutumia Mlonge fasta tu CD4 zinapanda anaenjoy maisha yake.
 
Kitu change kupungua makali kina ubora. Usiombe uambiwe una cancer halafu usiikubali hata miezi sita humalizi. Bora ARV zinakusaidia huku zinakumaliza taratibu hata kama hujajikubali.
Acha mama nina rafiki yangu ana saratani ya shingo ya kizazi stage ya kwanza halafu amegoma kutoa kizazi uwiii yaani naogopa, tumemshauri tumechoka maana hana mtoto anasema hawezi kufa bila kuzaa.
 
Acha mama nina rafiki yangu ana saratani ya shingo ya kizazi stage ya kwanza halafu amegoma kutoa kizazi uwiii yaani naogopa, tumemshauri tumechoka maana hana mtoto anasema hawezi kufa bila kuzaa.
Mwambieni aache ubinafsi jamani na kuumiza mwili wake.
 
Acha mama nina rafiki yangu ana saratani ya shingo halafu amegoma kutoa kizazi uwiii yaani naogopa, tumemshauri tumechoka maana hana mtoto anasema hawezi kufa bila kuzaa.
Kama haijalika mwambie aanze dozi ya majani ya mstafeli na juice ya tunda la Mkomamanga.... kama imelika sana endeleeni kumuomba atoe tu kizazi.... Nimepima hiyo saratani mwezi uliopita maana duuh imeshika kasi sana siku hizi sijui ni pedi au nini Mungu atusaidie jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…