UKIMWI ni biashara, nchi za dunia ya tatu tunatumika

UKIMWI ni biashara, nchi za dunia ya tatu tunatumika

Mkuu hoja hapa ni kwamba hakuna VVU wala UKIMWI, kama ungeridhia damu husika ingepimwa kwenye maabara zinazotambulika na zenye viwango vya ubora wa kimataifa ili kuhakikisha haina vimelea vya homa ya ini wala magonjwa mengine yoyote yanayoambukizwa, na pia fahamu kwamba TB haiambukizwi kwa damu! Nirudie tena kusema HIV / AIDS is real na kama bado huamini kubali tukufanyie majaribio ili tumalize huu mjadala once and for all

Umeshawahi kuwaona VVU katika vipimo??? kama VVU wapo na ukaweza kunionyesha kama unavoonyesha virusi wa magonjwa mengine naweza kuja PM
 
yani km nmemwelewa jamaa anataka awaone kbs hao virus eg wawe isolated labda ndo atakubali um inoculate
Akihitaji kufanya hivyo atafute research centres zenye advanced facilities akajionee na sio kuja kupotosha watu hapa wakati kuna watu wanateseka sana
 
Umeshawahi kuwaona VVU katika vipimo??? kama VVU wapo na ukaweza kunionyesha kama unavoonyesha virusi wa magonjwa mengine naweza kuja PM
Mkuu zipo njia nyingi za kugundua uwepo wa VVU , unafahamu kuhusu antigen/ antibody tests, DNA PCR na nyinginezo? unapo jenga hoja technical kama hizi jaribu kutafuta kwanza information za msingi kuhusiana na kinachoongelewa
 
Mkuu zipo njia nyingi za kugundua uwepo wa VVU , unafahamu kuhusu antigen/ antibody tests, DNA PCR na nyinginezo? unapo jenga hoja technical kama hizi jaribu kutafuta kwanza information za msingi kuhusiana na kinachoongelewa


Mkuu Usipoteze Muda Kwa Hao Wafuasi Wa Deception ....
Anaongea Hayo Kwasababu Hayajamkuta tu. Lakini asiombe Yamkute.
 
Miili yetu iko tofauti jinsi inavyopambana na magonjwa ndiyo maana kuna watu wanaishi dar hawajawahi ugua malaria ila wanaumwa na mbu kila siku.Case zote za wanaishi na HIV haziwezi kufanana kwani hata mimi nina ndugu zangu waliozaliwa HIV+ wanakunywa dawa mpaka kesho ila wako vizuri sana.
Ni suala la muda
 
Kwahiyo ni HIV tu ndiye barozi pekee wa UKIMWI ?

Sikiliza wewe... UKIMWI sio ugonjwa. UKIMWI/AIDS ni hali ya mwili kupungukiwa kinga. Narudia, UKIMWI is NOT a disease, rather it is a status whereby the body immune system becomes defenseless na kisha mtu anapata magonjwa/infections kirahisi, magonjwa hayo ni haya haya ya kila siku ya tangu enzi na enzi, yaani magonjwa ni haya haya wanayougua watu wote duniani... mfano mafua, malaria, upele, typhoid, tb, headache, diarrhea, n.k n.k

UKIMWI upo tangu enzi na enzi hata kabla ya uwepo wa HIV. UKIMWI sio ugonjwa na wala Ukimwi hauambukizwi, bali ni hali ambayo yaweza mtokea mtu yeyote ndani ya mwili wake. Mfano nikuulize, mtu mwenye TB na vipimo vinaonesha ni HIV negative, je mtu huyo anakuwa ana UKIMWI? au hana UKIMWI?

Kwahiyo ukisikia kwamba ''mtu amekufa kwa Ukimwi'' usidhanie kuwa 'Ukimwi' ndio kamuua huyo mtu, la hasha! Kunakuwa na ugonjwa specific ambao ndio umemuua.

To summarize, cheki hii formula:

1. UKIMWI ====> 2. UGONJWA/MAGONJWA ====> 3. KUUGUA ====> 4. KUPONA/KUFA.

SWALI la msingi sasa ambalo ndiyo linaendelea kuibua global discussion, ni hili: JE, NI NINI HUSABABISHA UKIMWI? hapa sasa ndipo kuna several school of thoughts and some conspiracies being taken on board. Go figure.

Panueni akili. Acheni kupanua miguu.

-Kaveli-
Wabongo wanajua kupanua miguu tu..
 
Mkuu zipo njia nyingi za kugundua uwepo wa VVU , unafahamu kuhusu antigen/ antibody tests, DNA PCR na nyinginezo? unapo jenga hoja technical kama hizi jaribu kutafuta kwanza information za msingi kuhusiana na kinachoongelewa

Na swali la msingi ni kuwa kwanini wapime antibodies/antigen badala ya VVU mwenyewe?
 
hii mada ukichunguza kwa umakini ina utata ndani yake uwezi kubadilisha mawazo ya mwenzako.
kila mtu anaegemea upande wake kulingana utafiti wake
 
siyo kweli niko kwenye sector ya virology mwaka wa 10 huu...... Nikiwa nna degree ya microbiology... Nimeshinda lab na damu za hiv sana....
Nna ndugu yangu nilimkataza kabisa kutumia kabisa arvs baada ya kugundua ziko kibiashara zaidi..... Mpk kesho ananishukuru hakuingia kwenye mtego... Na amekuwa balozi mzuri wa kimyakimya wa kushauri watu wasidumbukie kwenye huu mtego.....
Research it!!!!!!! Unachojaribu kukielezea hapa ndo kinachofundishwa kwenye taaluma ya LIFE SCIENCE kuhusiana na huu ugonjwa fake..... But siyo reality...
Na kama kwenye maisha ako ulishawahi mshauri mtu atumie ARVs trust me umemgeuza mtumwa wa dawa.... Umemuua na unapaswa ujilaumu mpk uingie kaburini.......
Toa mbinu mbadala basi
 
msihangaike hii kitu mbona ina tiba na inaisha kabisa, Stem cell inawezesha kuzalisha seli nyingi za kinga na kumaliza UKIMWI ndani ya wiki 2-3
Kaka Nina mjombangu anapata taabu sana naomba tuongee vizuri
 
Back
Top Bottom