LWITIKO LWITIKO
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 209
- 118
Sasa mnasubiria nini azalishwe faster kabla hali haijawa mbaya zaidi ili atimize malengo yake shida ni nini?Acha mama nina rafiki yangu ana saratani ya shingo ya kizazi stage ya kwanza halafu amegoma kutoa kizazi uwiii yaani naogopa, tumemshauri tumechoka maana hana mtoto anasema hawezi kufa bila kuzaa.
Kwani kuathirika ni nini? hahaha wanasema UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini kwa hiyo kama kinga zake zimeshuka ndio magonjwa nyemelezi yanamjia swali ni je kila anayeshukwa na kinga ana Ukimwi? jibu ni hapana, my dear hii mada ni ndefu tusije haribu biashara za watu.... mchanganyieni majani ya mlonge kwenye lishe msagie kwa pamoja awe anakunywa pia kila siku apate glass mbili asubuhi moja na jioni moja ya juice ya majani hayo.Ila si bado atakua kaathirika?
NitamshauriKama haijalika mwambie aanze dozi ya majani ya mstafeli na juice ya tunda la Mkomamanga.... kama imelika sana endeleeni kumuomba atoe tu kizazi.... Nimepima hiyo saratani mwezi uliopita maana duuh imeshika kasi sana siku hizi sijui ni pedi au nini Mungu atusaidie jamani.
Mimba haziingii mkuu, na imegundulika akiwa anaudhuria matibabu ya kutafuta mtotoSasa mnasubiria nini azalishwe faster kabla hali haijawa mbaya zaidi ili atimize malengo yake shida ni nini?
Ukiupata niambukize tuSiku nikikutwa na hao HIV sitakaa nikatumia ARV.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Ukiupata niambukize tu
Wanajua watanzania hamsikiiUkisikilkza hata matangazo mengi ya HIV/AIDS yamejikita katika kutanagza biashara ya ARV na sio kupunguza wala kukinga maambukizi ya huu ugonjwa..wanasema nenda kapime uanze Kutumia ARV..kwanini wasijikite zaidi kwenye preventiona ya ugonjwa..the world is full of dramas
Ndio mkuu, ili na mimi niwe kwenye list yako[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Umeupata tayariNdio mkuu, ili na mimi niwe kwenye list yako
Haha[emoji23] huo wa maneno siutakiUmeupata tayari
Mzugua unajisemesha tu..Siku nikikutwa na hao HIV sitakaa nikatumia ARV.
Utatumia niniSiku nikikutwa na hao HIV sitakaa nikatumia ARV.
Naona anataka kwenda kuzimu mapema [emoji28][emoji28][emoji28] maisha yalivyo matamu hivi nani atataka afe mapema....Utatumia nini
Wengi wanaugua zaidi sababu ya depression. We angalia wengi ambao wanaojijua baada ya kupima wakati wakiwa hawaumwi wanavyokongoroka haraka wakishajijua.Mzugua unajisemesha tu..
Ila inawezekana kama utapata elimu elekezi na how to control your depression..
Sitatumia chochote ila ntahakikisha kinga yangu ya mwili haishuki kwa hali yeyote ileUtatumia nini