UKIMWI, Pombe, Kitimoto na Urbanization ni Threat to National Security

Ila kitimoto ikikaushwa vizuri haina mazara baana...
Kwingine kote umeongea point ila hapo kwenye kitimoto ndio sijakuelewa kabisa
 
Kuna watu walipata ukimwi miaka zaidi ya 30 lkn hadi leo hii wapo wanadunda tu
 
Ila kitimoto ikikaushwa vizuri haina mazara baana...
Kwingine kote umeongea point ila hapo kwenye kitimoto ndio sijakuelewa kabisa
Kwani ukila ya kuchemshwa bila kukausha ina madhara?
 
Mada za mihemko bwana, we kula ulale bwana, kwani hii dunia ni ya nani?? Mpaka uanze kuwaonea watu huruma na ukimwi, au nguruwe,?? Kausha fanya maisha yako uzeeke na utakufa acha umbea
Kiukweli niko upande wako mambo mengi aliyoyaongelea ni personal sana nakila kitu hapo kilianza mda sana hamna jipya angeita mawaidha tu kama ni urbanization ilianza tokea kitambo wazee wetu walipewa nauli tu na wazazi wao kwenda mjini kutafuta mambo ya mtu anakunywa nini na kula nini ndo kabisa umalaya sio jambo lakushangaaa hata hamna jipya ndoa kilichofanya wazee wetu wadumu kwenye ndoa ni uvumilivu tu ila michezo ya njee kama kawa bi fatma apunguze munkari na aache kumfokea raisi wetu
 
Mleta mada atakuwa mwenye dini kali jambo ambalo kwa hapa Tanganyika ni geni sana.

Sasa anataka kila mtu aishi kwa misimamo yake jambo ambalo haliwezekani
 
sasa we jamaa unakula raha gani duniani au unasubiri za akhera
 
Idea ya urbanization has ACTUALLY proven to be a good idea. It seems kuna watu bado wapo wmaekariri mitaala ya karne 2 zilizopita.
 
Umemwaga nondo Sana but hapo kwenye kitimoto ni suala mtambuka Sana cause Kuna watu wataona kuwa umewalenga wao kwasababu hicho kitoweo kime base zaidi katika issue za kiimani
 
Ndiyo tabu yenu kaa nq imani yako hii nchi haina dini kila kitu rukhsa ili mradi hauvunji sheria
 
kijana kuwa makini na starehe za watu, wee ambaye huli kitimoto ndo utaenda mbinguni au ndo utaishi milele?, tena...
ukome sikuingine unapo andika haya jaribu kushirikisha kichwa na mkono na sio makalio na mkono.
 
Mkuu mbona unaongea kwa hisia kali Sana,

Sema tuh jamaa kagusa angle mbaya ola amesema ukweliii...

Mitungii,mikasiii na misosiii...

Na hiyo ndiyo raha ya duniaa,gusa unasee.
Hamna mzee, ila tusifanye ngono wakat hata mwenye ndoa hajui uhakika wake, mimi nasemaga mtu akipata ukimwi usimlaumu sana kabla ya kujua kaupata vp, pombe nakunywa na ndio maisha yangu....na kitimoto safi once per week, yeye afanye anayojua aishi milele, JPM hatunae tena ila Mwenyezi Mungu alimuhitaji na wakati ulifika, sasa sisi ni nani tuanze pangina cha kufanya...??


Kuna kitu sikupendi,watu wamekua wanampangia Raisi vitu vya kufanya ambacho ni ujinga na wanakosea?? Mbona Magu hawakua wanampangia???
 
Wacha tufe tu hayakuhusi! Wataka tuishi daima kwani dunia nibyetu
 
kijana kuwa makini na starehe za watu, wee ambaye huli kitimoto ndo utaenda mbinguni au ndo utaishi milele?, tena...
ukome sikuingine unapo andika haya jaribu kushirikisha kichwa na mkono na sio makalio na mkono.
Nimegonga LIKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…