Ukimwi umekaa sehemu tamu sana

Ukimwi umekaa sehemu tamu sana

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Hakuna wa kupinga hapa kusema kweli ukimwi umekaa sehemu tamu aswaa siyo tamu tu ni tamu palipoipita ata Tamu yenyewe,

Wakati una mzuka wa kutindua papuchi ata atokee mtu akuchape bakora mixer na bunduki mkononi akuambie acha ndugu hapa babaya utaungua na miwaya masikio huwa hayasikii ukimaliza sasa nenda hospitary kapime vilio na huzuni ndio huwa pale lakini siyo kwenye tendo,


Ukimwi ukimwi kwa nini haukukaa sehemu nyingine yeyote isipokuwa ni pale tu,sehemu ambayo tunafanya mambo yetu ya kibailojia sehemu kuu tunayoitumia kwa kazi ya /kutinduana/Kufukunyuana/kugegedana/kupeana Utamu wa wana Jf na wengine .


We dr uliyouleta huu ugonjwa ni kweli ulikuwa Dr siyo dr kama dr Shika ulitumia taaluma yako vizuri sana na leo hii dawa zako za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zimeondoa dalili zote za ugonjwa wako,

Siku hizi wagonjwa wako wanamiliki Chura za haja,wananenepa tu kwa Raha zao ukiwaona lazima huwatamani kwa sababu ni ngumu kuwatambua,

Kwa chura na shepu hizi za siku hizi plus ugonjwa wenyewe ulipokaa Vijana ,vijana tuwe macho sana twafaaaaaaa kwa mikakati ya Wazungu.


CC Zero IQ
 
Unaugua unakufa maisha yanaendelea..hata usipoumwa ukimwi utakufa tu..ponda maisha kufa Kwaja
 
Siku hizi wagonjwa wako wanamiliki Chura za haja,wananenepa tu kwa Raha zao ukiwaona lazima huwatamani kwa sababu ni ngumu kuwatambua. Kwa hicho kipengele wapenda mikia tuwe chonjo
 
Kweli mkuu sjui n kwa nn unakaa ndani ya kile kipoch ulitakiwa uwe unakaa kwa njee
 
Hakuna wa kupinga hapa kusema kweli ukimwi umekaa sehemu tamu aswaa siyo tamu tu ni tamu palipoipita ata Tamu yenyewe,

Wakati una mzuka wa kutindua papuchi ata atokee mtu akuchape bakora mixer na bunduki mkononi akuambie acha ndugu hapa babaya utaungua na miwaya masikio huwa hayasikii ukimaliza sasa nenda hospitary kapime vilio na huzuni ndio huwa pale lakini siyo kwenye tendo,


Ukimwi ukimwi kwa nini haukukaa sehemu nyingine yeyote isipokuwa ni pale tu,sehemu ambayo tunafanya mambo yetu ya kibailojia sehemu kuu tunayoitumia kwa kazi ya /kutinduana/Kufukunyuana/kugegedana/kupeana Utamu wa wana Jf na wengine .


We dr uliyouleta huu ugonjwa ni kweli ulikuwa Dr siyo dr kama dr Shika ulitumia taaluma yako vizuri sana na leo hii dawa zako za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zimeondoa dalili zote za ugonjwa wako,

Siku hizi wagonjwa wako wanamiliki Chura za haja,wananenepa tu kwa Raha zao ukiwaona lazima huwatamani kwa sababu ni ngumu kuwatambua,

Kwa chura na shepu hizi za siku hizi plus ugonjwa wenyewe ulipokaa Vijana ,vijana tuwe macho sana twafaaaaaaa kwa mikakati ya Wazungu.


CC Zero IQ
Pole sana
 
Back
Top Bottom