Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya wanaume na wanawake ni wapi wanaogopa Ukimwi sana kuliko mimba na ni wapi wanaogopa mimba sana kuliko Ukimwi?
Ukimwi mbaya jamani,japo wote tutakufa lakini kufa na gonjwa hili ni noma.
Cha muhimu watu kabla ya kuanza sex nendeni kupima, mkikutana salama ndio hapo mule tunda then hata ukipata mimba ni heri.
Pretty, nimepata tetesi mitaani ambazo hazijathibitishwa kwamba mtu mwenye VVU akitumia antibiotics let's say for a week, then akaenda kupima VVU, majibu yanakuwa Negative. Any Idea?
MwanaFA, hapa kunahitaji ufafanuzi kidogo esp katika kipindi hiki ambacho mazingira ya mahusiano ya kuingiliana maungoni yanabadilika. Kuna yale weye mahusiano ya jinsia moja ( Mwanaume kwa mwanaume (Gays relationships) na yale ya wanawake kwa wanawake (lesibians) majibu yanaweza kuibuka ya ajabu mkubwa!.....kwani hao nao wapo kwnye dunia yao.
Kama ni mahusiano ya "Adamu na Eva" (legal relationships), ukimwi mzee hakuna asieogopa, na mimba inayoogopwa sana ni ile isiyotarajiwa, tu yaani isiyo na maandalizi wala mategemeo ila bado kama mlikuwa mnacheza peku, kuna dhana (presumption) kuwa hata mkiambukizana au kupeana mimba, mlitarajia (foreseable effects).
Kwa suala la ukimwi, mzee hiyo habari nyingine kabisa, kwa upande wa wanaume wengi hujaribu kujikakamua tu kuwa hawana hofu na hilo gojwa, lakini mzee nafsi ya kila mtu inajibu lake.....na ukitaka kujua jinsia zote zinahofu na hilo gojwa, hebu jaribu kukaa na mtu ambaye unaamini kiafya yupo shwari, muda huo huo utumiwe ujumbe mfupi kuwa huyo mwenzio hakidhi viwango vya ubora ( yaani muda wake wa matumizi umekwisha (expired). Hata kama ni ujumbe wa uzushi, utasinyaa..., na utataka kuthibitisha kwanza hiyo habari,......
ANGALIA HIZO PICHA NA TOA JIBU KADILI YA HISIA ZAKO:
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kati ya wanaume na wanawake ni wapi wanaogopa Ukimwi sana kuliko mimba na ni wapi wanaogopa mimba sana kuliko Ukimwi? Hasa kwenye mahusiano ambayo bado hayajawa kwenye mfumo wa ndoa.
Kwanza tukubaliane kwamba hivi viwili japo vyaweza kupatika kwa njia moja, UKIMWI ni janga wakati Mimba ni heri!
Sasa hebu tuone ni nani wanaogopa heri kuliko janga na vice versa.
Kwanza tukubaliane kwamba hivi viwili japo vyaweza kupatika kwa njia moja, UKIMWI ni janga wakati Mimba ni heri!
Sasa hebu tuone ni nani wanaogopa heri kuliko janga na vice versa.