Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Habarini ndugu watanzania wenzangu. Moja kwa moja niende kwenye mada yangu, kumekuwa na ukimya juu ya makusanyo ya tozo kwenye miamala ya fedha kwa njia ya simu tofauti na hapo awali tulipotangaziwa jumla ya makusanyo yake.
Nini kimebadilisha hadi kuwa na ukimya (usiri) huo na ilihali tuliambiwa zitashughulika na ujenzi wa madarasa lakini mikopo ndiyo iliyofanya kazi hiyo.
Naona ukweli kwenye watanganyika kuitwa wadanganyika maana ni kama tumewekwa giza ilihali tunaaminishwa sasa hivi ni serikali yenye uwazi.
To be honest pesa hiyo inaumiza sana, bora ukope huku unanitaarifu pesa yangu ya tozo yenyewe imeenda sehemu fulani.
Nawasilisha
Nini kimebadilisha hadi kuwa na ukimya (usiri) huo na ilihali tuliambiwa zitashughulika na ujenzi wa madarasa lakini mikopo ndiyo iliyofanya kazi hiyo.
Naona ukweli kwenye watanganyika kuitwa wadanganyika maana ni kama tumewekwa giza ilihali tunaaminishwa sasa hivi ni serikali yenye uwazi.
To be honest pesa hiyo inaumiza sana, bora ukope huku unanitaarifu pesa yangu ya tozo yenyewe imeenda sehemu fulani.
Nawasilisha