Ukimya wa Diamond Platnumz juu ya yanayoendelea unamaana gani?

hahahaha
Mkuu usijali hii ndio jf yani sio kwamba wanao kukosoa huwa hawakosei....
Nimekuelewa....ukipost we kaa kimya....jf ni pagumu sana kama ukianza kufatilia kila kinacho andikwa.....
 
Ndugu unyajua maboga kweli wewe?
Haya hapa maboga

Maboga mawili



Sasa mwenzetu unsema unakimbizana kuwahi maboga, Je, unatumia Vodacom Fasta au Tigo?

Vilevile jaribu kujua matumizi ya (,)( ; ) (.)(!)(?)
 
I have got you though, it seems like you don't know the meaning of excuse.

Coming to the issue of the use of punctuation marks (, . ? ! : ; " '......) I know and I understand its uses but because of what i stated on my excuse writing is what made that haverzad to happen.

i have seen your satire pictures
 
Pole ndugu, kingereza kwetu mtihani. Mtaani kwetu ukisema: "Nina shughulikia maboga" basi tutajua wewe unahusika na mambo ya chura.




Hayo hapo maboga rafiki.
 
Umbea ukiandikwa na msukuma haunogi
 
Wambea wengi huwa hawana shule kichwani, uandishi na udaku wako ni dhahiri huna shule kichwani kazi umbea umbea
Hv hakunaga umbea ambao ni professionally,naona umbea siku zote unafanywa na watu wa class ya chini .....
 
 
Hamisa hebu tulia uandike vitu vyenye kueleweka hahahaha
 
Wewe hujiulizi kwanini kiki zake hutoka baada ya kuachia wimbo mpya? pia hushangai familia nzima kila mtu ana Instagram hadi kina Tiffah wa miaka sijui 2?! kwahyo ni business as usual..ukiwafatilia una poteza muda wako
 
Kweli Imekuja na Meli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…