kwetukijijini
Member
- May 20, 2018
- 37
- 26
Licha ya kutokuwanayo simu ya kupangusa kama wenzangu wa 'mujini' bado sijabaki nyuma kuhusu updates za kila muda zinazoendelea kudrop ulimwenguni, ahsante teknolojia kwa ufea wako utofauti upo tu kwenye kuyakliki mavidio kwangu ndo yanagoma.
Video ya Iyena imeibua mengi sana huku wapo wanaotazama kama suala la Zari na Platnumz lilikuwa kama suala la biashara tu na hakukuwa utofauti wowote baina yao na hata mimi najipenyeza katika fikra za kundi hlo.
Kama ni ivyo Platnumz anaroho ngumu kwa kiwango hicho maana amemlaghai vya kutosha Bi Hamisa mpaka kwenye vyombo vya habari na hatimaye kuzaa tumaini jipya kuwa mimi ndiye Mrs Simba kwani Bi Zari alikuwa Ughaibuni akiendelea kubwabwaja kwenye akaunti zenu za mujini kutamu mnaziita na kudiriki kumwita mumewe bazaz mkubwa loooh!
Kumbe ni busness, mtoto wa watu simba anaendelea kukwarua kwangwaru huku akilamba lips denda na hatimaye mama simba anamtusi huku tukiendelea kusubiri tamko mwisho project mliyoitengeneza inaletwa anamwagiwa matusi mengine na ndugu zako wewe upo tu.
Video ya Iyena imeibua mengi sana huku wapo wanaotazama kama suala la Zari na Platnumz lilikuwa kama suala la biashara tu na hakukuwa utofauti wowote baina yao na hata mimi najipenyeza katika fikra za kundi hlo.
Kama ni ivyo Platnumz anaroho ngumu kwa kiwango hicho maana amemlaghai vya kutosha Bi Hamisa mpaka kwenye vyombo vya habari na hatimaye kuzaa tumaini jipya kuwa mimi ndiye Mrs Simba kwani Bi Zari alikuwa Ughaibuni akiendelea kubwabwaja kwenye akaunti zenu za mujini kutamu mnaziita na kudiriki kumwita mumewe bazaz mkubwa loooh!
Kumbe ni busness, mtoto wa watu simba anaendelea kukwarua kwangwaru huku akilamba lips denda na hatimaye mama simba anamtusi huku tukiendelea kusubiri tamko mwisho project mliyoitengeneza inaletwa anamwagiwa matusi mengine na ndugu zako wewe upo tu.