Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Mmoja kati ya vijana wa yamoto band (mkubwa na wanawe) Maromboso yupo kimya sana tofauti na wenzake kama Aslay, Beka flavour, Enock wote wametoa nyimbo as solo artist. Lakini bado maromboso.
Maromboso (Mbosokhan) ameaminiwa na wasanii wengi wakubwa akashirikishwa na Chegge na wengne.
Lini atatoa nyimbo yake?
Na lini atatambulishwa wcb wasafi?
Anavuta attention lakini asitoe nyimbo mbaya.
Nasubiria kazi yake sana
Maromboso (Mbosokhan) ameaminiwa na wasanii wengi wakubwa akashirikishwa na Chegge na wengne.
Lini atatoa nyimbo yake?
Na lini atatambulishwa wcb wasafi?
Anavuta attention lakini asitoe nyimbo mbaya.
Nasubiria kazi yake sana