Mbona vyuo vikuu tumesahaulika hivyo ? Kuna thamani gani ya elimu ya chuo kikuu hapa Tanzania kama tunakuwa watu wa kukopa kopa, namaanisha ni mwezi mmoja sasa umekatika hatujapewa pesa ya field! Viongozi wa selikali waziri wa elimu kulikon mbona kimya kimezid? Mtatuua