Ukimya wa Waziri Mkuu Majaliwa katika sakata la Mkataba wa Bandari

Ukimya wa Waziri Mkuu Majaliwa katika sakata la Mkataba wa Bandari

Congressman

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2020
Posts
781
Reaction score
2,305
Habari Wakuu!

Kama tunavyojua role ya Waziri Mkuu kama mtendaji Mkuu (engine) ya Shuguli za Serikali.

Tofauti na matukio mengine, katika hili la Mkataba wa kuuza bandari zetu hakuna mahali ambapo tumemsikia Waziri Mkuu wetu either akiunga mkono au akipinga udalali huu na zaidi, Ni Greyson Msigwa pekee ndo kaachiwa kutetea jumba bovu.

Ni vyema tukasikia kauli ya Mhe. Majaliwa ambaye asilimia kubwa Watanzania wana imani naye, au la tuamini kuwa ameona akae pembeni kujiepusha na laana hii kubwa kwa Taifa.
 
habari Wakuu!

Kama tunavyojua role ya Waziri Mkuu kama mtendaji Mkuu (engine) ya Shuguli za Serikali.

Tofauti na matukio mengine, katika hili la Mkataba wa kuuza bandari zetu hakuna mahali ambapo tumemsikia Waziri Mkuu wetu either akiunga mkono au akipinga udalali huu.

na zaidi, Ni Greyson Msigwa pekee ndo kaachiwa kutetea jumba bovu.

Ni vyema tukasikia kauli ya Mhe. majaliwa ambaye asilimia kubwa watanzania wana imani naye, au la tuamini kuwa ameona akae pembeni kujiepusha na laana hii kubwa kwa Taifa.
Hayamuhusu
 
Sidhani kama aliunga mkono. Sema ndio hivyo hauwezi kuipinga serikali ambayo wewe ni mmoja wa viongozi wake.

Aliyekuwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga breki ni spika na bunge lake, lakini na wao pia akili zao ziko 2025, kila mmoja anataka kuwa kwenye good terms na her Majesty the Queen of Dubai.

Basi tena ndio ikawa hivyo. Huu mkataba tutalazimika kuuvunja na kuwalipa hao jamaa huko mbeleni.
 
habari Wakuu!

Kama tunavyojua role ya Waziri Mkuu kama mtendaji Mkuu (engine) ya Shuguli za Serikali.

Tofauti na matukio mengine, katika hili la Mkataba wa kuuza bandari zetu hakuna mahali ambapo tumemsikia Waziri Mkuu wetu either akiunga mkono au akipinga udalali huu.

na zaidi, Ni Greyson Msigwa pekee ndo kaachiwa kutetea jumba bovu.

Ni vyema tukasikia kauli ya Mhe. majaliwa ambaye asilimia kubwa watanzania wana imani naye, au la tuamini kuwa ameona akae pembeni kujiepusha na laana hii kubwa kwa Taifa.
Unataka asemaje. Sasa

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
habari Wakuu!

Kama tunavyojua role ya Waziri Mkuu kama mtendaji Mkuu (engine) ya Shuguli za Serikali.

Tofauti na matukio mengine, katika hili la Mkataba wa kuuza bandari zetu hakuna mahali ambapo tumemsikia Waziri Mkuu wetu either akiunga mkono au akipinga udalali huu na zaidi, Ni Greyson Msigwa pekee ndo kaachiwa kutetea jumba bovu.

Ni vyema tukasikia kauli ya Mhe. Majaliwa ambaye asilimia kubwa Watanzania wana imani naye, au la tuamini kuwa ameona akae pembeni kujiepusha na laana hii kubwa kwa Taifa.
ULITAKA APINGE KIBARUA KIISHE KAMA SPIKA MSTAAFU? HII NI TANZANIA UKITAKA KULA NYAMAZA KIMYAAA au WASIFIE WAHUSIKA KELELE waachie Wapinzani
 
Habari Wakuu!

Kama tunavyojua role ya Waziri Mkuu kama mtendaji Mkuu (engine) ya Shuguli za Serikali.

Tofauti na matukio mengine, katika hili la Mkataba wa kuuza bandari zetu hakuna mahali ambapo tumemsikia Waziri Mkuu wetu either akiunga mkono au akipinga udalali huu na zaidi, Ni Greyson Msigwa pekee ndo kaachiwa kutetea jumba bovu.

Ni vyema tukasikia kauli ya Mhe. Majaliwa ambaye asilimia kubwa Watanzania wana imani naye, au la tuamini kuwa ameona akae pembeni kujiepusha na laana hii kubwa kwa Taifa.
Kwani akiwa kimya ndio itabadili nini?
 
Habari Wakuu!

Kama tunavyojua role ya Waziri Mkuu kama mtendaji Mkuu (engine) ya Shuguli za Serikali.

Tofauti na matukio mengine, katika hili la Mkataba wa kuuza bandari zetu hakuna mahali ambapo tumemsikia Waziri Mkuu wetu either akiunga mkono au akipinga udalali huu na zaidi, Ni Greyson Msigwa pekee ndo kaachiwa kutetea jumba bovu.

Ni vyema tukasikia kauli ya Mhe. Majaliwa ambaye asilimia kubwa Watanzania wana imani naye, au la tuamini kuwa ameona akae pembeni kujiepusha na laana hii kubwa kwa Taifa.
Yaani umeingia mawazoni mwangu kabisa. Huyu mheshimiwa, yawezekana Yuko kinyume na wazo hili. Ila hataki kuwa msemaji maana serikali haijipingi yenyewe, au mdogo hawezi kumpinga mkubwa. Au Yuko Nyutro.
 
Watanzania gn wana iman na uyo jamaa hao unaosema asilimia kubwa?
Hana mvuto wa ksiasa kama sumaye tu hana power yoyote ile kwa umma yule zaid ya kofia ya uwaziri mkuu ndo inamfanya aonekane kdogo nje ya hapo hamna ktu kuna huyo na kuna ndugai naye hana nguvu ya ksiasa kwny taifa hli, pia kuna hangaya naye cheo cha ukuu wa nchi ndo kmemfanya angalau aonekane nje ya hapo hawez pambana hata na ezekia wenje kwny medani za ksiasa.
 
Habari Wakuu!

Kama tunavyojua role ya Waziri Mkuu kama mtendaji Mkuu (engine) ya Shuguli za Serikali.

Tofauti na matukio mengine, katika hili la Mkataba wa kuuza bandari zetu hakuna mahali ambapo tumemsikia Waziri Mkuu wetu either akiunga mkono au akipinga udalali huu na zaidi, Ni Greyson Msigwa pekee ndo kaachiwa kutetea jumba bovu.

Ni vyema tukasikia kauli ya Mhe. Majaliwa ambaye asilimia kubwa Watanzania wana imani naye, au la tuamini kuwa ameona akae pembeni kujiepusha na laana hii kubwa kwa Taifa.
Anajua kinachoendelea.
 
Back
Top Bottom