Ukimya wake una maana gani??

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Habari zenu wadau!!kuna msichana nimemwambia tuachane kwa kumtumia txt kwenye simu but cha kushangaza kakaa kimya hadi sa hz,na leo ni siku ya 3 tangu nimtumie hyo txt,tatzo ni nin,hana crdts au ndo mie nichanganye za kuambiwa pamoja na zangu?
 
Ni mpenzi wako?kwanini usingemwambia face to face?umemkosea heshima as if she is very cheap!!
 
Sasa we unatakaje? ulitaka aanze kulia na kukubembeleza au? Umetuma ujumbe umefika unajiuliza nini sasa, au ulikua unatingisha kiberiti
 
Habari zenu wadau!!kuna msichana nimemwambia tuachane kwa kumtumia txt kwenye simu but cha kushangaza kakaa kimya hadi sa hz,na leo ni siku ya 3 tangu nimtumie hyo txt,tatzo ni nin,hana crdts au ndo mie nichanganye za kuambiwa pamoja na zangu?
Umemtext mwenyewe ili muachane_halafu unaleta mawashawasha!....anyway niko naye hapa nimemwambia atulie nipo kwa ajili yake and she promise never to go back...ahahahahaaaaaaaaaa
 
Kwani mlipotongozana mlitongozana kwa txt hadi umtumie txt ya kuachana??

hayo mambo ya kutumiana txt za kuachana wanafanya watoto wa sekondari but mwanaume kama mwanaume hawezi fanya huo ujinga! mfuate umweleze ukweli kuwa hutoweka kuwanae sababu 1 2 3
 
Umemwambia muachane.sasa unataka ajipendekeze?
 
Umemtext mwenyewe ili muachane_halafu unaleta mawashawasha!....anyway niko naye hapa nimemwambia atulie nipo kwa ajili yake and she promise never to go back...ahahahahaaaaaaaaaa

Mwambie huyo, hayo ya kulia lia wanawake wameenda wanayaacha, anafikiri mpaka anaamua kumtakia hakuwahi onesha dalili, mdada alishajitafutiaga wa kukureplace siku nyingi tu. We umeshuka kuna mwenzio anapanda
 
vipi Mpwa ulikua una test zali eh? imekula kwako ndio inaonyesha jinsi watu walivyochakana
 
Mwambie huyo, hayo ya kulia lia wanawake wameenda wanayaacha, anafikiri mpaka anaamua kumtakia hakuwahi onesha dalili, mdada alishajitafutiaga wa kukureplace siku nyingi tu. We umeshuka kuna mwenzio anapanda[/QUOTE]
Yeah!...life goes on
 
Sasa we unatakaje? ulitaka aanze kulia na kukubembeleza au? Umetuma ujumbe umefika unajiuliza nini sasa, au ulikua unatingisha kiberiti

amejaribu makali ya sumu kwa kuilamba...
binti kamshangaza...
 
natumai umejifunza kitu hapo...
next time usiwe unaropoka tu, unless uwe unamaanisha...
 
Ndio keshakubali na ndo keshakuacha,na hayo yote ni ujumbe kwako kuwa hukua muhimu kivile na uamuzi wako umemrahisishia kukutoa maishan mwake na kuwa commited kwa aliye muhimu kwake kwa sasa,km inakuumiza pole hope ulikuwa unabip mwenzio ndio kakuvutia waya mkuu!ugulia utafute mwingine maisha yaendelee!
 
Haya mambo ni magumu sana,....sidhani kama kuna ulazima wa kumuacha mpnz wako kwa kumwandikia sms(as if she is cheap like....),...nafikiri hapa mkuu senetor uliteleza kidogo ama haujiamini mkuu
 
Kwisha habari yako,kwanza ulikuwa humfikishi kileleni sasa amempata rijali anamfikisha swaaaafi,na amekudharau kinoma.
 
Haya mambo ni magumu sana,....sidhani kama kuna ulazima wa kumuacha mpnz wako kwa kumwandikia sms(as if she is cheap like....),...nafikiri hapa mkuu senetor uliteleza kidogo ama haujiamini mkuu
Hapa jamaa alikuwa anajaribu tena kwa dharau kumbe mwenzie naye anatafuta sababu,sasa hapo dukapatikana maana hata ujasiri wa kumpigia kumuuliza hana ataanzia wapi cha msingi augulie tu kwa kujifunza kutokana na makosa!
 
He Kumbe Ulikuwa unapima maji lol. kama sms inaeleweka wewe ulitaka akujibu nini tena au upo interested na jibu lipi?
 
mnachangia ka wandawazimu au huyo dem dadaaenu nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…