Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
Wadau imekua jadi yangu sasa kupokea walimu wa field na baada ya muda lazima niombe mzigo.
Sasa juzi kuna demu kanikomesha, alipofika tu kituoni nikaomba namba zake za simu, nikaanza kushoboka nae hata darasani nikawa siingii kufundisha madogo mada ya "Sarufi na uchanganuzi wa sentensi". Basi nikampeleka lunch akala akashiba, nikamlipia chumba kodi ya miezi mitatu kwa kipindi chote atakachokuwa hapa shuleni!
The last month. nikaomba show kwa mtoto mzuri. Cha ajabu nimeambulia matusi na kejeli za nguoni eti mimi ni
mshamba, mvaa mitumba na ndio maana nina matege.
Aiseeh, niliumia sana kwa kebehi hizi. ikafika hatua nikawa namkwepa pale shuleni nisionane nae.
Sasa juzi kanitafuta hewani, eti bebi pole na kufungwa na Yanga goli tano🙄. nikala buyu.
Jana kanipigia simu nikawa sipokei, leo pia kanitumia ujumbe mrefu eti ooh walimu wa kiswahili mmejaa gubu.
Sasa juzi kuna demu kanikomesha, alipofika tu kituoni nikaomba namba zake za simu, nikaanza kushoboka nae hata darasani nikawa siingii kufundisha madogo mada ya "Sarufi na uchanganuzi wa sentensi". Basi nikampeleka lunch akala akashiba, nikamlipia chumba kodi ya miezi mitatu kwa kipindi chote atakachokuwa hapa shuleni!
The last month. nikaomba show kwa mtoto mzuri. Cha ajabu nimeambulia matusi na kejeli za nguoni eti mimi ni
mshamba, mvaa mitumba na ndio maana nina matege.
Aiseeh, niliumia sana kwa kebehi hizi. ikafika hatua nikawa namkwepa pale shuleni nisionane nae.
Sasa juzi kanitafuta hewani, eti bebi pole na kufungwa na Yanga goli tano🙄. nikala buyu.
Jana kanipigia simu nikawa sipokei, leo pia kanitumia ujumbe mrefu eti ooh walimu wa kiswahili mmejaa gubu.