Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #21
nilitaka anionee hurumaUmetoaje kabla ya kupewa?ulikuwa unabet?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilitaka anionee hurumaUmetoaje kabla ya kupewa?ulikuwa unabet?
kwa hio mimi ni furushi, au unataka uingie kwenye list ya kununiwaFurushi kama furushi
this is platform for learning and stress relief, dont take it personal madamHalafu ukitombewa mkeo unalialia. Una deserve kumbe
yule si yupo homuHalafu ukitombewa mkeo unalialia. Una deserve kumbe
Hongera kwa kujifunzanilitaka anionee huruma
Mkeo alitombewa homu?yule si yupo homu
Kule kwenye uzi mwingine ulifanya tukuonee huruma kumbe ilikuwa chai?this is platform for learning and stress relief, dont take it personal madam
punguza ukali wa maneno, unanipa uchunguMkeo alitombewa homu?
We hata sio wa kuonewa huruma nakwwmbia.punguza ukali wa maneno, unanipa uchungu
Mkuu wewe ndiye yule ambaye mkeo alikumbilia Dodoma?Wadau imekua jadi yangu sasa kupokea walimu wa field na baada ya muda lazima niombe mzigo.
Sasa juzi kuna demu kanikomesha, alipofika tu kituoni nikaomba namba zake za simu, nikaanza kushoboka nae hata darasani nikawa siingii kufundisha madogo mada ya "Sarufi na uchanganuzi wa sentensi". Basi nikampeleka lunch akala akashiba, nikamlipia chumba kodi ya miezi mitatu kwa kipindi chote atakachokuwa hapa shuleni!
The last month. nikaomba show kwa mtoto mzuri. Cha ajabu nimeambulia matusi na kejeli za nguoni eti mimi ni
mshamba, mvaa mitumba na ndio maana nina matege.
Aiseeh, niliumia sana kwa kebehi hizi. ikafika hatua nikawa namkwepa pale shuleni nisionane nae.
Sasa juzi kanitafuta hewani, eti bebi pole na kufungwa na Yanga goli tano🙄. nikala buyu.
Jana kanipigia simu nikawa sipokei, leo pia kanitumia ujumbe mrefu eti ooh walimu wa kiswahili mmejaa gubu.
GOD protect meWe hata sio wa kuonewa huruma nakwwmbia.
Yakupate mengine mazito zaidi. Kila la kheri.
He won'tGOD protect me
Huyo muongo muongo si unajua story za jf 98% ni fiction? Huyu hata uandishi wake hajui mke ni nini …kwanza story za jf unatakiwa usizichukulie serious sana chai nyingiHalafu ukitombewa mkeo unalialia. Una deserve kumbe
Amefanya wanawake wapondwe mawe kwenye ule uzi wake. Kumbe kajitungia pambav kabisaHuyo muongo muongo si unajua story za jf 98% ni fiction? Huyu hata uandishi wake hajui mke ni nini …kwanza story za jf unatakiwa usizichukulie serious sana chai nyingi
lesson platformHuyo muongo muongo si unajua story za jf 98% ni fiction? Huyu hata uandishi wake hajui mke ni nini …kwanza story za jf unatakiwa usizichukulie serious sana chai nyingi
yule mpuuzi nime msahauAmefanya wanawake wapondwe mawe kwenye ule uzi wake. Kumbe kajitungia pambav kabisa