Ukininyima nakununia mwaka mzima

Objective football

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2023
Posts
1,195
Reaction score
2,771
Wadau imekua jadi yangu sasa kupokea walimu wa field na baada ya muda lazima niombe mzigo.

Sasa juzi kuna demu kanikomesha, alipofika tu kituoni nikaomba namba zake za simu, nikaanza kushoboka nae hata darasani nikawa siingii kufundisha madogo mada ya "Sarufi na uchanganuzi wa sentensi". Basi nikampeleka lunch akala akashiba, nikamlipia chumba kodi ya miezi mitatu kwa kipindi chote atakachokuwa hapa shuleni!

The last month. nikaomba show kwa mtoto mzuri. Cha ajabu nimeambulia matusi na kejeli za nguoni eti mimi ni
mshamba, mvaa mitumba na ndio maana nina matege.

Aiseeh, niliumia sana kwa kebehi hizi. ikafika hatua nikawa namkwepa pale shuleni nisionane nae.

Sasa juzi kanitafuta hewani, eti bebi pole na kufungwa na Yanga goli tanoπŸ™„. nikala buyu.

Jana kanipigia simu nikawa sipokei, leo pia kanitumia ujumbe mrefu eti ooh walimu wa kiswahili mmejaa gubu.
 
imewahi nitokea hii. vipi ujamlia buyu?
 
imewahi nitokea hii. vipi ujamlia buyu?
Nimemlia buyu kinyama mwamba. Contacts zake zote ni nani na juzi akanitafuta ananiuliza amenikosea nini nimwambie anisamehe, nilishamwambia kosa lake na sina haja ya kumkumbusha tena. Najua boom likikata tu atanitafuta, hapo ndo nitakapomwonyesha rangi zote asizozijua.
 
mbwai mbwai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…