Ukiniomba namba, nakuomba hela, ubaya ubwela

Ukiniomba namba, nakuomba hela, ubaya ubwela

jannelle

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2020
Posts
824
Reaction score
1,581
Tumechoka usumbufu usio wa lazima, now ni Tit for Tat😂, ninyi si mabingwa bwana basi twendeni hivyo tu hakuna kujaza manamba yasio na faida, sms eti "VIPI NIAMBIE" khaa🚮

2025 nimeamua ukiomba namba nami naomba pesa, Shwaa
#Jocking😂😂
 
Ukiombwa namba, unaomba hela
Ukiomba hela, unaombwa utamu
Ukikukubali njoo geto, masuala ya nauli relax


Masuala ya nauli usiwe na wasiwasi agiza bajaj ije geto, nitamlipa bajaji mimi mwenyewe Cash. Pesa cash ninayo geto 🤣
 
Then ukishafikisha 30’z tukutane kwa Mtume kutafuta muujiza wa Ndoa..

Tatizo mkiombwa namba hua mnahisi mtatongozwa all the time, saa zingine vijana wanataka marafiki wa kike.. sasa kama unakutanaga na vip, nambie ujue we sio attractive enough.. wanakufriend zone. Them smart nowadays!!
 
Ukiombwa namba, unaomba hela
Ukiomba hela, unaombwa utamu
Ukikukubali njoo geto, masuala ya nauli relax


Masuala ya nauli usiwe na wasiwasi agiza bajaj ije geto, nitamlipa bajaji mimi mwenyewe Cash. Pesa cash ninayo geto 🤣
🤣 Tunaijua hiyo
 
We're too smart dear, Rafiki anajulikana tu and wazee wa ku flirt utawajua pia, so dont judge
Then ukishafikisha 30’z tukutane kwa Mtume kutafuta muujiza wa Ndoa..

Tatizo mkiombwa namba hua mnahisi mtatongozwa all the time, saa zingine vijana wanataka marafiki wa kike.. sasa kama unakutanaga na vip, nambie ujue we sio attractive enough.. wanakufriend zone. Them smart nowadays!!
 
We're too smart dear, Rafiki anajulikana tu and wazee wa ku flirt utawajua pia, so dont judge
Cant argue bout that, but time is coming hata hao wakuwaomba namba hawataonekana, then ndo utaelewa kwann auntie yako ana baby dadies watatu, the system is rigged!!
 
Cant argue bout that, but time is coming hata hao wakuwaomba namba hawataonekana, then ndo utaelewa kwann auntie yako ana baby dadies watatu, the system is rigged!!
Hatuwezi kuwa wa kwanza kwenye historia dear. They say msiba wa wengi hauna kilio, something like that
 
Back
Top Bottom