Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba namba yakoTumechoka usumbufu usio wa lazima, now ni Tit for Tat😂, ninyi si mabingwa bwana basi twendeni hivyo tu hakuna kujaza manamba yasio na faida, sms eti "VIPI NIAMBIE" khaa🚮
2025 nimeamua ukiomba namba nami naomba pesa, Shwaa
#Jocking😂😂
Na mie nakuomba nyapu hapohapo.Tumechoka usumbufu usio wa lazima, now ni Tit for Tat😂, ninyi si mabingwa bwana basi twendeni hivyo tu hakuna kujaza manamba yasio na faida, sms eti "VIPI NIAMBIE" khaa🚮
2025 nimeamua ukiomba namba nami naomba pesa, Shwaa
#Jocking😂😂
Kuna kiasi ukitajiwa, sio kuja tu bali utakuja kwa nauli yako mwenyewe huku ukiwa umevaa pichu ya mtoko na kipochi manyoya kukifyeka tayari kwa matumizi.😂😂😂 Tulikubaliana hatuji
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukiniomba hela, nakuomba kipochi manyoya, ukisema nikutumie, nakwambia njoo uifuate, ukiifuata umeliwa na ukiliwa hela sikupi.
Hata mimi siko serious piaChitchat tu dear, nothing serious
Hii mbinu ya watu wa msamvu hukoKuna kiasi ukitajiwa, sio kuja tu bali utakuja kwa nauli yako mwenyewe huku ukiwa umevaa pichu ya mtoko na kipochi manyoya kukifyeka tayari kwa matumizi.
Huwa hatushindwi kukupeleka showroom ukachague gari na kuambiwa ukaichukue siku inayofuata, ukienda unaulizwa gari gani mbona uliekuja nae alikuwa anafanya window shopping tu. Kipndi hicho ushamegwa kitambo.
najibu ohh, worry out niko msibani 🤣😂
Una jua Nita kwambia ni msimba wa nani???Account yako nayo ipo msibani?