Ukinipa show nzuri siwezi kukuchuna wallah!

daaah inawezekana hili nalo lipo,
unaeza mpiga show mtoto watu mara ya kwanza alikua anakuringia ila akionja tu anakung'ang'ania balaa, inaweza kua ni matunda ya show pevu lol!
 
Kwichi raha Sana tena umpate fundi
 
hata mimi,
ntaunda tume kamili ya uchunguzi ikiongozwa na mtu mmoja ivi hatari sana
Usiache kwenye tume mkuu kama dereva wa tume. Najua kuendesha gari zote, fiat volvo, audi, Chevrolet, honda nk. Ila Auto sijui.
 
Usiache kwenye tume mkuu kama dereva wa tume. Najua kuendesha gari zote, fiat volvo, audi, Chevrolet, honda nk. Ila Auto sijui.
haa haa ushafeli mkuu...
ayo magari manual waliendesha babu zetu we hadi leo umekomaa nayo, achana na ayo njoo kwenye utelezi huku, yani kitu unakanyaga tu hadi unalala unashitukia matairi yako juu....!!
hapo ndio unapokuja kumbuka automatic ni gari ya aina gani, ila uongo mbaya mi ni addicted na auto manual tupa kule tunazeeshana bure.
 
Nitafte nkupe shoo ambyo hukuwai kupata toka uzaliwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…