Ukinitibua Nami Nakutibua

Ukinitibua Nami Nakutibua

Ukimkamata nitafute tumkimbize tumchomoe hela nyingine nyingi.... na nitakusaidia kumsearch tuone sasa..... dharau kama hizi mbona hazipiti kwangu ningeshuka nimwambie just wait dude aongeze na nyingine..
 
Sifanyagi mambo hayo, mie ntahakikisha namgonga gari yake na yeye mwenyewe kisha najipeleka polisi maana dola za kumhonga sina

gari yako itaumia zaidi..ila ukitaka kumkomoa mbinu zipo mingi mbona
 
Hahaha. Ngoja kwanza, zile hela zake ungemrushia mlinzi manake jamaa lazma alikuwa anakucheki kwenye kioo. Hajui umetoka mamtoni jana? Howz ya jetlag kwanza?

yaaani nilishikwa kama na bumbuwazi na hasira nikabaki sielewi nini kilichotokea na aliponigonga aliondoka one way na hela alizirushia kwenye mapaja yangu, yaani alinitia hasira hakuna mfanowe ila nimeapa kumtibua tuu hanijui Kasinde akili zangu labda atembelee bajaji ila atajuta kunigonga.
Hahahaa hawezi jua kama nimetoka mamtoni ye alijua mie ni mmoja wa madada wanaojiegesha kwa ajili ya mauzo kumbe mie niko full equiped nakula life bila pochi ya mtu, jetlag............... nshapoa
 
Bling bling, money ain't a thang.

Next time I'll make it flood on you with ten bands.

Yaani Nyani Ngabu, money ain't a thing eeeehhhh!! Wallah skukuu hii nimeshajua utakuwa wapi na naitafuta ile ile range yako naku bang kwa mbele, if u flood me that much next time, I'll hang my hands in ur neck and u'll cry for sure hadi useme poo ndo ntakuachia
 
Dola Mia Mia,ziko 20 e❓❕➖exchange rate ➖1650Tsh

roughly amenitupia kama milioni tatu hivi yaani anajidai na hela zake na kunifanyia dharau mie ili nimkubali hajanijua vizuri labda
 
​Khe Khe Khe Khe Khe Khe kula ujana raha sana 🙂🙂

Ni raha kwa kweli ila kanitibua na lazima nimtibue na mimi kama alivonitibua kisha najipeleka polisi mwenyewe
 
aaahh wapi, sina nyege na watu wenye dharau kwanza nina hasira nae siwezi fall kwake hadi nimtibue

ukishamtibua , kinachofuata ndiyo kuliwa sasa.........

halafu unaonekana utakuwa mtamu sana wewe bibie..............
 
ndo ukaniacha kwenye mataa we mtoto

hahahaaa sikukuacha kwenye mataa, niliposhuka tuu nilisahau kama ulisema utakuja nipokea so nikatoka na kuchukua taxi hadi home, poleee
 
Back
Top Bottom