miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Nataka kuhama jf maana kila mtu ana gari, wanajf wote wanaishi mikocheni,masaki,osterbey! kumbe sisi choka mbaya hatustahili kuwa jf.
Gari now days kama simu tu isikupe presha..... bei zenyewe za kawaida tu elmradi unatembea umekaa