Kutongoza ni mpango wa Mwanadamu na Kuoa ni Mpango wa Mungu, usije itaka harusi kwa pupa[emoji1787]Hello [emoji112]
Hiyo ndio hashtag mpya kwa Sasa, wale wa #kataa ndoa Karibuni [emoji120]
Hahaha umeona eeeeh[emoji2] halafu nowdays hawana aibu kabisa ni unapasuliwa live live...!!
phaller sana mwanangu😁😁Hapana shangazi kasema mwakani ndo niwe serious 😁