Ukinitumia stickers tu kwenye whatsup imekula kwako

kzba

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,355
Reaction score
789
Sijui ni mimi tu , au pia wenzangu mko hivyo yan kama tunachart ukishanitumia huo ujinga wa sticker zile za vibonzo au nyinginezo na zile vilugha sijui vya xaxa nakutema mazima yan kwa huo mjadala, utakuta lijanaume zima linaleta pigo hizo, nakudharau mazima yani.
Sijui kwenu wenzangu ikoje
 
"Nakutema mazima" maana yake ndio nini? Mwenyewe una kiswahili cha kishamba sana mkuu punguza mbwembwe.
 
Kama hizi[emoji16][emoji2957][emoji119][emoji848][emoji1787][emoji4]!?
 
Wewe mwenyewe mshamba tu kama washamba wengine kuandika kwenyewe hujui [emoji57][emoji57][emoji57][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Unajiona special kumbe fala tu mmoja...kwahiyo ukishamdharau ndo nini anakufa au?
 
Unajiona special kumbe fala tu mmoja...kwahiyo ukishamdharau ndo nini anakufa au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ajitia stress za bure bado mdogo..... Akizeeka je,
 
Dah wana wamekushukia[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…