Ukinitumia stickers tu kwenye whatsup imekula kwako

Ukinitumia stickers tu kwenye whatsup imekula kwako

Unaonekana upo insecure na jinsia yako halafu wanaume wengi wanaojifanya wana u masculine basi wengi wana u feminine ndani yake
 
Hata hiyo kuchat text nyiingi ni kwa vijana bado haujafikia peak ya kuwakataa hao wenzako,bado upo nao kundi moja ni vile una-force!

Legendaries wanatumiana kama ni picha au file kisha mazungumzo mengine ni kwa calls,huwa nashangaa mtu anakutumia pic ya kitu halafu anataka muelezane utofauti na usawa wake kwa njia ya jumbe fupi,ngumu sana but mkiwa hewani rahisi kuelewana.
 
Unatumia simu gani ndg yangu maana naona kama unasound kinyonge sana.
Wewe mwenyewe mshamba tu kama washamba wengine kuandika kwenyewe hujui [emoji57][emoji57][emoji57][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom