Ukiniwekea Simba na Ngogwe nitachagua Ngogwe (Nyanya chungu)

Tena sisi Wasambaa tunaziita ngoghwe! Ni zile chungu kweli kweli! Yaani hiyo kitu nisipokula ndani wiki moja tu, akili inavuruga kabisa kichwani.
Mm nna kijana wangu ni dereva wa fuso hua namugiza kindoo kidogo kutoka lushoto(homeland),I really like it,mleta uzi njoo uchukue ngogwe achana na huyo paka fc
 
Mm nna kijana wangu ni dereva wa fuso hua namugiza kindoo kidogo kutoka lushoto(homeland),I really like it,mleta uzi njoo uchukue ngogwe achana na huyo paka fc
Nashukuru sana Mkuu
 
Uwe mvulivu
 
asa iyo ngongwe katakata afu chukua bamia lako la 300 pika mlenda tupike ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…