Mgiriki MTz JF-Expert Member Joined Dec 27, 2019 Posts 330 Reaction score 270 Apr 8, 2020 #21 MR. IBU said: We mwanamke mmbea kweli..mwanzo siku ona chochote,baada kusema wewe ndio nimeona.kweli watu wanakazi zao.π²π²π² Click to expand... Mkuu msamehe ndio kazi za wanawake hizo Depal
MR. IBU said: We mwanamke mmbea kweli..mwanzo siku ona chochote,baada kusema wewe ndio nimeona.kweli watu wanakazi zao.π²π²π² Click to expand... Mkuu msamehe ndio kazi za wanawake hizo Depal
T THEBADDEST JF-Expert Member Joined Dec 22, 2019 Posts 247 Reaction score 137 Apr 8, 2020 #22 Juzi niliunga kifurushi cha uni waliniandikia mb 500 na dk kadhaa kuja kuanza kutumia nakuta mb mbili hii ni kwa mara ya kwanza napija customer care anabisha hakuna kitu kama hicho nimmaindi kis**** na militaka kumtukana bahati yake alikuwa mdada tu Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi niliunga kifurushi cha uni waliniandikia mb 500 na dk kadhaa kuja kuanza kutumia nakuta mb mbili hii ni kwa mara ya kwanza napija customer care anabisha hakuna kitu kama hicho nimmaindi kis**** na militaka kumtukana bahati yake alikuwa mdada tu Sent using Jamii Forums mobile app
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Apr 8, 2020 Thread starter #23 MARTIAL20 said: Zinagawanywa mara mbili usiku 250 na mchana 250 wapigie watakuambia hivyo COVID19π¦ π¦ π¦ Click to expand... TUNACHANGIA CORONA NN MPWA BILA.KUJUAA
MARTIAL20 said: Zinagawanywa mara mbili usiku 250 na mchana 250 wapigie watakuambia hivyo COVID19π¦ π¦ π¦ Click to expand... TUNACHANGIA CORONA NN MPWA BILA.KUJUAA
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Apr 8, 2020 Thread starter #24 Depal said: Naona kina muda na muda... Kuna kipindi GB 7 zilikaa siku 4 tu Click to expand... Nahisii corona imepunguza MBS mpwaa dah
Depal said: Naona kina muda na muda... Kuna kipindi GB 7 zilikaa siku 4 tu Click to expand... Nahisii corona imepunguza MBS mpwaa dah
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Apr 8, 2020 Thread starter #25 MR. IBU said: Haaaa basi wewe utakuwa una hisa hapo..zamani walikuwa wapo poa ila kuanzia wiki mbili zilizo pita,ndio wameanza haka kamchezo kao.. Click to expand... Hisaa IPI wewe HAO HAOO wafanyakazi wakoo home wanatetea ugali warudishwe ooh
MR. IBU said: Haaaa basi wewe utakuwa una hisa hapo..zamani walikuwa wapo poa ila kuanzia wiki mbili zilizo pita,ndio wameanza haka kamchezo kao.. Click to expand... Hisaa IPI wewe HAO HAOO wafanyakazi wakoo home wanatetea ugali warudishwe ooh