Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Kumnyang'anya mama mtoto wake ni UNACCEPTABLE!Labda kama anamnyanyasa na hamjali...zaidi ya hapo hairuhusiwi kwenye kitabu changu!
Duuh nilikuwa napima presha...wanawake wote wangekuwa hivyo tungezaa sana na kuijaza Dunia. Tatizo wengine hata hujawazalisha wanakuja kukubwagia watoto. Eeeh nani anataka presha